Waalimu Tukutane Hapa

Waalimu Tukutane Hapa

Malick M. Malick

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2013
Posts
658
Reaction score
314
Lengo la UZI huu ni kuwa wale wote wenye Taaluma ya Elimu na Walimu waliowai kufundisha,na wale waliowai kufundisha lakini awajasoma Elimu(Ualimu)kuanzia Cheti mpaka Profesa,Upe mpaka Klashi Lengo la UZI walimu kujipa Moyo na kuwapa Moyo vijana wetu juu ya KAZI ya Ualimu,Vijana wetu wengi wanakata Tamaa juu hii KAZI kutokana Changamoto zilizopo kuunzia Malipo mpaka Mazingira ya Kazi huko vijijini,sasa tukiacha Hali hii Watanzania wenzetu wanaoishi vijijini Watakosa Elimu,sasa Walimu lazima wajivunie Ualimu sababu wanalitoa Taifa katika GiZa kuja katika MWANGA.
Naamini Waalimu wengi wamepitia CHANGAMOTO HIZI

Mosi,Mazingira magumu
Pili,Madeni
Tatu,Watu wa masijara Halimashauri kukuona Msumbufu
Nne,Kukaa vijijini bila Umeme
Tano,Kukosa nyumba ya kuishi
Sita,Uhamisho wa kituo cha kazi
Saba,kupanda madaraja

NB unaweza kuongezea, ila pamoja na CHANGAMOTO bado unafanya KAZI au Umestahafu bado ulikuwa Mwalimu

Naomba Walimu huu uwe wezi UZI wa kupeana Moyo na Ikiwezekena Kupeana FULSA ili kujikomboa

Mods usiamishe huu UZI nimeweka JUKWAA la AJIRA makusudi, sababu tutakuwa tunajadili KAZI ya Ualimu na mambo mbalimbali yanayohusu UALIMU
Karibu
 
Nikianza .
Mimi ni mwalimu wa degree nikiwa nimesomea Education in science. Maisha ni marahisi sana walimu. Hasa walimu tukijitambua. Kivipi?, kazi ya ualimu hasa kwa waajiliwa serikalini inalipa sana, kwakuwa unapata nafasi nzuri ya kujihusisha na biashara nyingine wakati huohuo ukiwa ni mwalimu. Kuna mambo mengi unaweza fanya na ukatoka mapema kimaisha kuliko kutegemea ualimu utakuchukua muda mrefu kutoka. Mfano kwa wale wanaofanya kazi mjini wanaweza fanya biashara kama kuanzisha duka la vyakula au vyovyote, biashara ya spea za magari,baiskeri au pikipiki. Wapi utapata mtaji mwalimu,ni rahisi sana kwa mwalimu kwakuwa kuna instituition kibao zinatoa mkopo wala haziitaji uwe na kitu cha kueka rehani zaidi ya ajira yako. Ama walioko vijijini kule pia biashara inaenda ila kubwa jiingize kwenye kilimo mbona mambo yatakuwa poa mapema tu!. Kuna walimu kibao wanaendesha gari, wananyumba nzuri mjini na vijijini. Ee bwana akili kumkichwa ualimu unalipa haina haja kushinda kulalamika mshahara kwani hata upewe millioni na nusu kwa mwezi haitoshi mambo ni mengi. Ni hayo kwasasa karibuni kwenye field ya ualimu wala msiogope.
 
Mbona wale wa Kenya Wamegoma mwezi na wiki sasa? Inakuwaje kule hailipi hadi wagome na huku kwetu ilipe? Wakati laki nane Kule ndo the minimal kwa cheti? i.e GRAD A 3
 
Nikianza .
Mimi ni mwalimu wa degree nikiwa nimesomea Education in science. Maisha ni marahisi sana walimu. Hasa walimu tukijitambua. Kivipi?, kazi ya ualimu hasa kwa waajiliwa serikalini inalipa sana, kwakuwa unapata nafasi nzuri ya kujihusisha na biashara nyingine wakati huohuo ukiwa ni mwalimu. Kuna mambo mengi unaweza fanya na ukatoka mapema kimaisha kuliko kutegemea ualimu utakuchukua muda mrefu kutoka. Mfano kwa wale wanaofanya kazi mjini wanaweza fanya biashara kama kuanzisha duka la vyakula au vyovyote, biashara ya spea za magari,baiskeri au pikipiki. Wapi utapata mtaji mwalimu,ni rahisi sana kwa mwalimu kwakuwa kuna instituition kibao zinatoa mkopo wala haziitaji uwe na kitu cha kueka rehani zaidi ya ajira yako. Ama walioko vijijini kule pia biashara inaenda ila kubwa jiingize kwenye kilimo mbona mambo yatakuwa poa mapema tu!. Kuna walimu kibao wanaendesha gari, wananyumba nzuri mjini na vijijini. Ee bwana akili kumkichwa ualimu unalipa haina haja kushinda kulalamika mshahara kwani hata upewe millioni na nusu kwa mwezi haitoshi mambo ni mengi. Ni hayo kwasasa karibuni kwenye field ya ualimu wala msiogope.

Kweli kiongozi,ila tuweke wazi na changamoto jinsi ya kuzivuka
 
Ndg zangu ualimu serkalin mtamu balaa!! ila tusiposhirikiana hatuwezi kutoka kamwe mm toka nianze kaz 2006 mpk leo laki tano siijui, nilichoamua toka 2008 nilipoenda kuchukua diploma sijarudi mpk leo nachukua dgree yang nakuchek utaratbu mwingine na salary nalamba kama kawa wakisimamisha nakula boom then naenda zangu private, ushenz gan huu nimechoshwa na hii serikali unaweza kufa ht baiskel hujamiliki.
 
Ndg zangu ualimu serkalin mgumu balaa!! ila tusiposhirikiana hatuwezi kutoka kamwe mm toka nianze kaz 2006 mpk leo laki tano siijui, nilichoamua toka 2008 nilipoenda kuchukua diploma sijarudi mpk leo nachukua dgree yang nakuchek utaratbu mwingine na salary nalamba kama kawa wakisimamisha nakula boom then naenda zangu private, ushenz gan huu nimechoshwa na hii serikali unaweza kufa ht baiskel hujamiliki.
 
Nikianza .
Mimi ni mwalimu wa degree nikiwa nimesomea Education in science. Maisha ni marahisi sana walimu. Hasa walimu tukijitambua. Kivipi?, kazi ya ualimu hasa kwa waajiliwa serikalini inalipa sana, kwakuwa unapata nafasi nzuri ya kujihusisha na biashara nyingine wakati huohuo ukiwa ni mwalimu. Kuna mambo mengi unaweza fanya na ukatoka mapema kimaisha kuliko kutegemea ualimu utakuchukua muda mrefu kutoka. Mfano kwa wale wanaofanya kazi mjini wanaweza fanya biashara kama kuanzisha duka la vyakula au vyovyote, biashara ya spea za magari,baiskeri au pikipiki. Wapi utapata mtaji mwalimu,ni rahisi sana kwa mwalimu kwakuwa kuna instituition kibao zinatoa mkopo wala haziitaji uwe na kitu cha kueka rehani zaidi ya ajira yako. Ama walioko vijijini kule pia biashara inaenda ila kubwa jiingize kwenye kilimo mbona mambo yatakuwa poa mapema tu!. Kuna walimu kibao wanaendesha gari, wananyumba nzuri mjini na vijijini. Ee bwana akili kumkichwa ualimu unalipa haina haja kushinda kulalamika mshahara kwani hata upewe millioni na nusu kwa mwezi haitoshi mambo ni mengi. Ni hayo kwasasa karibuni kwenye field ya ualimu wala msiogope.

Mawazo haya ndio huwa nayapinga kila siku
Umesomea Ualimu Na unafundisha ila Hilo SIO linalokulisha Na kusukuma gurudumu lako la maendeleo Bali kikazi kingine "B" ndicho kinachokusukuma Basi wewe hukupaswa kuwa mwalimu Bali mfanya hiyo Biashara. Hata Kama una vijibiashara au vikazi vingine lazima vichukue only 20-25% of your accumulations lakini lazima Kazi mama iwe sterling kuendeshea maisha.

Kusema serikali inakupa mda-uji Wa Kufanya mambo mengine ni UZEMBE MKUBWA, thats why walimu hawajiandai vema Na matokeo yake ndio zero tunazoziona. Mwalimu huyo auze bajia, Maandazi, vitumbua Na aandae scheme of work Na ma lesson plan, apitie hadidu Za SOMO Na mifano hai yakinifu saa Ngapi??!???

TUSIDANGANYANE
 
Mawazo haya ndio huwa nayapinga kila siku
Umesomea Ualimu Na unafundisha ila Hilo SIO linalokulisha Na kusukuma gurudumu lako la maendeleo Bali kikazi kingine "B" ndicho kinachokusukuma Basi wewe hukupaswa kuwa mwalimu Bali mfanya hiyo Biashara. Hata Kama una vijibiashara au vikazi vingine lazima vichukue only 20-25% of your accumulations lakini lazima Kazi mama iwe sterling kuendeshea maisha.

Kusema serikali inakupa mda-uji Wa Kufanya mambo mengine ni UZEMBE MKUBWA, thats why walimu hawajiandai vema Na matokeo yake ndio zero tunazoziona. Mwalimu huyo auze bajia, Maandazi, vitumbua Na aandae scheme of work Na ma lesson plan, apitie hadidu Za SOMO Na mifano hai yakinifu saa Ngapi??!???

TUSIDANGANYANE

Mkuu MKWELItu.
Ngoja nikueleze mkuu hivi haujui ni viongozi wangapi wanaspecialist zao lakini wanafanya kazi zaidi ya moja ambazo ni tofauti na fani zao?
Ukweli lazima tuuzungumze, ualimu pekee hauwezi kukutoa haraka kimaisha kama ilivyokuwa kwa watu wengine wenye kazi zaidi ya moja. Malesson plani, scheme of work unavitengeneza tena vizuri bila shida. Nilivyosema unafanya kazi yako pamoja ni nyingine sijamaanisha ukaingie shambani na kulima mwenyewe au kukaa dukani mwenyewe, kubwa ni mtaji ndio utaendesha kazi na wewe utakuwa mfuatiliaji tu. Mimi nayasema haya kwakuwa nayafanya na majukumu yangu yanaenda uzuri tu.
 
Last edited by a moderator:
Ndg zangu ualimu serkalin mtamu balaa!! ila tusiposhirikiana hatuwezi kutoka kamwe mm toka nianze kaz 2006 mpk leo laki tano siijui, nilichoamua toka 2008 nilipoenda kuchukua diploma sijarudi mpk leo nachukua dgree yang nakuchek utaratbu mwingine na salary nalamba kama kawa wakisimamisha nakula boom then naenda zangu private, ushenz gan huu nimechoshwa na hii serikali unaweza kufa ht baiskel hujamiliki.

Sijakuelewa.
 
Mkuu MKWELItu.
Ngoja nikueleze mkuu hivi haujui ni viongozi wangapi wanaspecialist zao lakini wanafanya kazi zaidi ya moja ambazo ni tofauti na fani zao?
Ukweli lazima tuuzungumze, ualimu pekee hauwezi kukutoa haraka kimaisha kama ilivyokuwa kwa watu wengine wenye kazi zaidi ya moja. Malesson plani, scheme of work unavitengeneza tena vizuri bila shida. Nilivyosema unafanya kazi yako pamoja ni nyingine sijamaanisha ukaingie shambani na kulima mwenyewe au kukaa dukani mwenyewe, kubwa ni mtaji ndio utaendesha kazi na wewe utakuwa mfuatiliaji tu. Mimi nayasema haya kwakuwa nayafanya na majukumu yangu yanaenda uzuri tu.
Mie sijapinga Mtu kufanya shughuli a and x sambamba lakini shughuli hiyo huwezi itegemea ikupe support pana ya maisha yako. Lazima Kazi mama ikupe heck ya 90%..

Mfano Mtu ana Biashara zake Na at the end of month anapata milioni mbili Kama faida Na anafundisha Kwa mshahara wa laki tatu au Nne, Basi huyo ni chizi, KWANINI asijiendeleze kibiashara Na angepata zaidi ya milioni mbili!!?. Huwezi kuwatumikia mabwana wawili Kwa wakati mmoja Na kumridhisha kila Mtu 100%, lazima upwaye upande mmoja.. Cha Muhimu kuongelea ni Tija. Tija ya Kazi pamoja Na Mshahara lazima Mwalimu akidhi mahitaji yake Kwa asilimia kubwa.
Japan Mwalimu analipya mshahara mkubwa kuliko watumishi wengine kiasi Cha YEN 10,000,000 sawa Na milioni 17 Za Tanzania. Kwa Sababu Mwalimu anajenga msingi Wa VIONGOZI wa Taifa wa Nchi husika. Kumdharau Mwalimu ni LAANA sana Kwenye Taifa.

Tusijifariji mimi SIO Mwalimu ila Kwa kweli naona jinsi walimu wanavyosota, utawakuta Ubungo pale petrol Station wamejipweteka Kwenye foleni ndefu NMB-ATM siku mshahara ukitoka. Kandambili zao zimechokaa, mikoba Yao imekwisha kweli kweli, sura zao zimekaukaa hadi unaona huruma, HII ni sura ya Mjini DSM, sipati Picha huko mikoani vijijini hali zikoje, huku watu wengine wanachangia mil650 Kwa Redio, Sijui walimu wanapewa picha ipi?

Kwa walimu wanaolipwa vi TGS flan say 130,000 Kwa hizo milioni 650 we say 650,000,000/130,000= 5,000 . Sawa Na walimu elfu tano, Na kwa wastani Mkubwa wa waalimu 20 Kwa shule tuna Shule 250, sawa Na mikoa Sita ya Tanzania Bara..HE....!!

Tuacheni kuwatukana walimu, tuwajali ..
 
Last edited by a moderator:
Kwakweli M Mwenzenu Yan Nmechoka Mpk Nataman Kuacha Hii Fani,ila Ndo Nmeanza Kazi Mwaka Jana Tu,cjui Hao Walokuwa Kazn Miaka 30 wapoje,yan nkpata chance hii fani naacha kabixa,bora nkasomee vtu vingne,kaz ngumu,maslah duni,
 
Suala la msing ni kua na kaz ambayo ndo chanzo cha maendeleo yako sio mpaka uwe na kaz zingine ndo zikulishe wakat umepoteza mda mwingi kuisomea na kuitafuta.
 
Bora uombe pikipiki uweke mafuta ujifunze.ukiamka wewe ni driver wa bodaboda then utaeezeshwa na CCM wanakupa pikipiki unaendesha pesa utakayopata kwa siku mwalimu ataipata kwa siku tatu.
Life goes on.

Unajua ualimu enzi za mwalimu watu walikuwa hawalalamiki mazingira.

Jamii yenyewe wana negative perception na taaluma ya Ualimu.
Ni vigumu kurudisha heshima ya taaluma ya ualimu ndo maana hata mchango wa waalimu hata serikali haitambui.
Mfano: ikitokea ichaguzi wa mafiwani serikali na vyama wanatumia pesa nyingi sana kwenye harakati za kumpatia mtu mmoja cheo cha kisiasa.
Suppose pesa za vyama vyote zinatumika kwenye kata kwa uchaguzi zikielekezwa kwenye elimu katika kata husika impact yake itakuwaje?
Ualimu ni taaluma iliyodharauliwa sasa kama jamii imekudharau kwa kuwa wewe ni mwalimu utajitiaje moyo uendelee kuwa mwalimu?

Ualimu ni fani nzuri sana sijapata kuona.
Ni taaluma inayokukeep uptodate kila siku.
Inakuweka karibu na jamii kwa mambo mengi sana.
Inakupa network ya watu wengi sana coz unaproduce watu wanatawanyika kila sehemu.

Tubuni njia mpya ya kuitumikia taaluma ya Elimu.
Kwa mfano.
Mwalimu uwe na vipindi vyako vya specific topic kwa nyakati tofauti shule kadhaa kwa mwezi then siku zinazobaki fanya mambo mengine.
 
Pole sana,hata mm nataman sana kuacha hii fan coz sion mafanikio kabisa

Wala huna haja ya kuwaza hivo.....
sio tu katika fani ya ualimu , kaa ukijua mshahara (pesa) huwa haitoshi hata siku moja
binafsi naona kazi ya ualimu ni nzuri sana kwangu kwani napata muda mwingi wa kufanya mambo mengine
vipindi vikiisha tu nachapa lapa kwenye ishu zingine
cha muhimu usikae kutegemea mshahara ndo ukutoe ndugu hata ukilipwa m5 naamini haitakutosha tu!!!!!

Cc Madame B, snowhite
 
Last edited by a moderator:
Karibuni
CC Madame B

Mkuu MALICK MUSSA.....
ualimu.jpg


31%20july%281%29.jpg
......... unaona mabo haya???????
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom