Waalimu msipomchagua Lowassa mmeula wa chuya

Waalimu msipomchagua Lowassa mmeula wa chuya

Lowasa alishafanya tukio la aina yake kwenye sacoss ya walim moshi.vijijin alihamasusha uchangiaji pale .....walim watampa kura anawajali

hizo ni ndoto labda walimu wa kwa mtei na mbowe na ndo maana mnadata za nyumbani kwenu sasa ni histori mpya nchi inarudi mikononi mwa mwalimu magufuli basi na kuzaliwa upya kwa miaka 50 ijayo

 
hizo ni ndoto labda walimu wa kwa mtei na mbowe na ndo maana mnadata za nyumbani kwenu sasa ni histori mpya nchi inarudi mikononi mwa mwalimu magufuli basi na kuzaliwa upya kwa miaka 50 ijayo


Huyo makufuli kawasaidia nn walim....acha ujinga naongelea mtu ambaye ameshawahi kuwa na uchngu na maisha ya walim ...lowasa pekeee.....
 
naona pumba tu humu. siku ingine jaribu kujenga hoja wakati unapost.

Katika mazingira ya kawaida ni wazi Lowasa ana mapenzi mema kwa waalimu na anao uwezo wa kiwaletea matumaini mema ya mishahara na mazingira mapya na mazuri na maisha bora kwa waalimu.

Waalimu mchagueni Mh.Lowasa kwa maisha ya matumaini na bora.
 
Back
Top Bottom