Waalimu mnakera sana!

Huna tu uwezo wa kuelewa lugha hii possibly kwakuwa na kadivisheni 4 kako kale kapointi 28 au upe ndio maana umekosa hoja nyamaza kimya!
Acha kulazimisha mambo wewe ,hiyo lugha inawenyewe.
Sentensi zako za kibashite ndo maana wadada walimu wanakutoa povu.
Collective judgement inaonesha mapungufu kwenye mchakato mzima wa kufikiria.
 
Naona bitoz anaanza kuvuliwa taulo hadharani.
 
Kaka we ni balaa. Naona huyu kenge mmemvua taulo.

Kumbe ni wivu unaomtoa povu.

Sijawahi ona jitu lofa na bwege Kama hili kenge.

Kumbe linautamani sana ualimu halafu linajishebedua kwa kubidua mitako juu kwa kujifanya matawi juu kuwaponda walimu.

Nimeamini humu jamii forums sio mahala salama kwa vilaza kama huyu lofa.
 
Hivi kwanini walimu inasemekana wengi wao wana maisha duni???

Kwa kupitia comments mbali mbali nimejua kabisa kuwa dahhhhhhhhhhh


Kwenye huu uzi nimejua mengi sana

Thanks
Cc Smart911
 
Hivi kwanini walimu inasemekana wengi wao wana maisha duni???

Kwa kupitia comments mbali mbali nimejua kabisa kuwa dahhhhhhhhhhh


Kwenye huu uzi nimejua mengi sana

Thanks
Cc Smart911
Mtoa mada atakuwa na jambo lake...
Hayo mambo anayosema yapo siyo kwa walimu peke yao...

Kwenye kila kazi kuna wabinafsi, wenye majungu, dharau, chuki, roho mbaya na mambo yate mabaya na mazuri...

Penye riziki hapakosi fitna...
 
Shikaamoooo....mwaaaaaaaaaalim!! Hatujambo. Aaaaaaaasante....mwaaaaaaalim!!
 
Hapo we ndo kilaza kwan walimu wngp wanfanya mambo ya maana. Walimu wangapi wanastaafu pensheni wanafnyia vitu vya maana........hujafikiria sana MKUU...watu hapa tumesomeshwa kwa mshahara ya hao waalimu unaowadharau wewe .....walimu hao unaowaponda wewe ndio waliokupa baadhi ya maarifa na ujuzi unaotumia mpaka Leo hii............ Fikiria Mara mbili kisha uandike hoja ya maana na siyo hiyo uliyoandika
Dharau hazijawahi muacha MTU salama
 
Yani mleta uzi, ungekuwa karibu yangu au shule ninayofundisha na kuongea upuuzi kama huu, hakika usingetoka salama. Meno yako yote 32 yangekuwa ukumbusho maktaba ya shule, wanafiki kama ww huwa siruhusu wakatize na maneno ya kike kama haya.
 
Nakuombea mungu watoto wako wawe walimu wrote tena Wa masomo ya sanaa
 
Mkuu huyu jamaa haina haja ya ku mquote, halaf kumbe n mwali aliekosa ajira anakuja kutapatapa humu
 
Lugha ni zao LA fasihi!then hujakitendea haki kiswahili mawazo yako ni finyu sana kulingana na taaluma uliozungumzia na ualimu siyo shule za kayabo na kayumba pekee .panuka kifikra hii ni sekta pana !next time uchimbe zaidi ndo utuleteE
 
Yani mleta uzi, ungekuwa karibu yangu au shule ninayofundisha na kuongea upuuzi kama huu, hakika usingetoka salama. Meno yako yote 32 yangekuwa ukumbusho maktaba ya shule, wanafiki kama ww huwa siruhusu wakatize na maneno ya kike kama haya.


Mkuu huyu hata usihangaike nae, ana strees za kukosa ajira, atakua kasomea stad za kazi
 
 
[emoji33] [emoji33]

Exactly
 
Huu ukosefu wa ajira haujawahi muacha MTU salama
Tatizo linakuja kwenye hii roho mbaya , sasa kukosa kwake ajira ndo awachukie wal8o kwenye system??!!
Ataisoma namba mlafwoko huyo
 
This iz one of bt secta zote watu wapo wenye kimbelembele nenda kwenye usalama uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…