Waajiriwa: Niwakumbushe, mshahara hu huu ndo utakaotumika mpaka Pasaka

Na wasoajiriwa shida yenu nyie mlioajiriwa na serikali huwa mnajiona mna haki kuliko wengine nyie huwa ni kulia lia tu hamuishi kulalamika acheni kazi mjue kuna muda huiwa mnanikera sana nyie waajiriwa
 
Na wasoajiriwa shida yenu nyie mlioajiriwa na serikali huwa mnajiona mna haki kuliko wengine nyie huwa ni kulia lia tu hamuishi kulalamika acheni kazi mjue kuna muda huiwa mnanikera sana nyie waajiriwa
Hahaha! Acha hizo ww.
 
Asante kutukumbusha maana hatukawii kudai mshahara tarehe 15 April Katikati ya mwezi kwa waliosahau. Pasaka ni tarehe 16 April 2017.
 
Back
Top Bottom