Waafrika wenyewe nao tunalalamika!

Waafrika wenyewe nao tunalalamika!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Ni ajabu Waafrika pia tunalalamika mara Trump yuko sawa, mara sijui tuko hivi, sasa mnamlalamikia nani?

Mimi nafikiri moja kati ya mambo ambayo Mzungu alifanikiwa kwetu ni kutuondolea kujiamini, kwa kifupi sisi ni Watoto wa Muzungu kwa maana Muzungu katulea na ndiyo maana tukigombana hatuna uwezo kutatua matatizo tunarudi kwao kutafuta usuluhisho!

Kama ulishawahi kukaa na watoto wadogo labda wawili utaona hawana uwezo wa kutatua matatizo watacheza pamoja lkn wakigombana utaona hakuna mshindi ni lazima wewe mkubwa uingilie ndo waelewane tena na mara nyingi inachukuwa nusu dakika tu labda unawadanganya pipi wanaanza kucheka kusahau hata walichogombania na kuendelea kucheza na kukupa amani!

Siyo Afrika pekee ndo ina matatizo ni Dunia nzima, kwanza kuna Wachina wana maisha magumu kuliko wengi wetu sisi lkn huyakabili na huwezi kusikia wakikimbilia kwa Muzungu kutaka kupatanishwa, angalia Korea Kaskazini na wanayopitia hivi ingekuwa sisi Watoto wa Muzungu ndo Wakorea ingekuwaje?

Mnajua Wazungu walimwaga mavirus Korea wanaita biological warfare Wakorea wakafa wakajipanga wakaingia lab wakatengeza kinga na sasa wanaishi?

Ulishasikia Mkorea anajali Muzungu kamuita jina gani?

Hivyo sisi ni Watoto wa Muzungu na ndiyo maana tunajali anachosema Muzungu kama alichosema Trump angesema Mchina wala isingekuwa ishu, ...
 
Ni ajabu Waafrika pia tunalalamika mara Trump yuko sawa, mara sijui tuko hivi, sasa mnamlalamikia nani?

Mimi nafikiri moja kati ya mambo ambayo Mzungu alifanikiwa kwetu ni kutuondolea kujiamini, kwa kifupi sisi ni Watoto wa Muzungu kwa maana Muzungu katulea na ndiyo maana tukigombana hatuna uwezo kutatua matatizo tunarudi kwao kutafuta usuluhisho!

Kama ulishawahi kukaa na watoto wadogo labda wawili utaona hawana uwezo wa kutatua matatizo watacheza pamoja lkn wakigombana utaona hakuna mshindi ni lazima wewe mkubwa uingilie ndo waelewane tena na mara nyingi inachukuwa nusu dakika tu labda unawadanganya pipi wanaanza kucheka kusahau hata walichogombania na kuendelea kucheza na kukupa amani!

Siyo Afrika pekee ndo ina matatizo ni Dunia nzima, kwanza kuna Wachina wana maisha magumu kuliko wengi wetu sisi lkn huyakabili na huwezi kusikia wakikimbilia kwa Muzungu kutaka kupatanishwa, angalia Korea Kaskazini na wanayopitia hivi ingekuwa sisi Watoto wa Muzungu ndo Wakorea ingekuwaje?

Mnajua Wazungu walimwaga mavirus Korea wanaita biological warfare Wakorea wakafa wakajipanga wakaingia lab wakatengeza kinga na sasa wanaishi?

Ulishasikia Mkorea anajali Muzungu kamuita jina gani?

Hivyo sisi ni Watoto wa Muzungu na ndiyo maana tunajali anachosema Muzungu kama alichosema Trump angesema Mchina wala isingekuwa ishu, ...

Mkiwa mnaitaji kukopa mnakimbilia Kwa haohao wazungu, , leo mbwa nyinyi mnawapiga watu risasi na kuwateka,,na mambo kibao ya kinyama ,,halafu mlivyo manguruwe hamtaki na wao wakashtaki kwa hao wanaowapa msaada wa mabilioni ya dola ambayo yanawapa jeuri ya kupiga watu risasi, africa inatakiwa itawaliwe tena *****
 
Pita kwenye link hapo unaweza kujua maana yake kwa kiwango fulani.
Mzungu - Wikipedia, kamusi elezo huru
Link imeleta maswali kuliko majibu.

Kama hatuwezi kusema wazungu ni watu wa Ulaya, wazungu ni nani na unawezaje kujua mpaka wa wazungu na wasio wazungu?

Kwa mfano. Warusi ni wazungu au si wazungu? Waturuki ni wazungu au si wazungu? Waromania ni wazungu au si wazungu? Waturuki ni wazungu au si wazungu?
 
Link imeleta maswali kuliko majibu.

Kama hatuwezi kusema wazungu ni watu wa Ulaya, wazungu ni nani na unawezaje kujua mpaka wa wazungu na wasio wazungu?

Kwa mfano. Warusi ni wazungu au si wazungu? Waturuki ni wazungu au si wazungu? Waromania ni wazungu au si wazungu? Waturuki ni wazungu au si wazungu?
Babu na bibi zetu walipoanza kulitumia hili neno kwa watu wa bara la ulaya walipokuja kwetu Afrika
Link imeleta maswali kuliko majibu.

Kama hatuwezi kusema wazungu ni watu wa Ulaya, wazungu ni nani na unawezaje kujua mpaka wa wazungu na wasio wazungu?

Kwa mfano. Warusi ni wazungu au si wazungu? Waturuki ni wazungu au si wazungu? Waromania ni wazungu au si wazungu? Waturuki ni wazungu au si wazungu?
Kwa kuwa hili neno mzungu halina uhusiano wa uasilia na bara la Ulaya au Uropa ina maana lililenga hasa kumuainisha mtu kutoka huko ulaya kwa tabia yake na si kwa utaifa wake. Kwani katika kiswahili tunawanasibisha watu kutokana na sehemu walizotoka mfano:-
1-Tanzania - mtanzania
2-Afrika - muafrika (mwafrika)
3-Uarabuni - muarabu (mwarabu)
4-Uingereza - Muingerza (mwingereza)
5-Marekani - Mmarekani
6-China - Mchina
7-Uholanzi - muholanzi au mdachi.
Mtu kutoka bara la Ulaya/Uropa tungeweza kumuita muulaya/muuropa lakini haijafanyika hivyo kwa kuwa alikwishajulikana kama mzungu, hivyo watu wote wanaotoka bara la ulaya tunawaita wazungu.
mzungu | Ufafanuzi katika Kiswahili - Oxford Living Dictionaries
 
Babu na bibi zetu walipoanza kulitumia hili neno kwa watu wa bara la ulaya walipokuja kwetu Afrika

Kwa kuwa hili neno mzungu halina uhusiano wa uasilia na bara la Ulaya au Uropa ina maana lililenga hasa kumuainisha mtu kutoka huko ulaya kwa tabia yake na si kwa utaifa wake. Kwani katika kiswahili tunawanasibisha watu kutokana na sehemu walizotoka mfano:-
1-Tanzania - mtanzania
2-Afrika - muafrika (mwafrika)
3-Uarabuni - muarabu (mwarabu)
4-Uingereza - Muingerza (mwingereza)
5-Marekani - Mmarekani
6-China - Mchina
7-Uholanzi - muholanzi au mdachi.
Mtu kutoka bara la Ulaya/Uropa tungeweza kumuita muulaya/muuropa lakini haijafanyika hivyo kwa kuwa alikwishajulikana kama mzungu, hivyo watu wote wanaotoka bara la ulaya tunawaita wazungu.
mzungu | Ufafanuzi katika Kiswahili - Oxford Living Dictionaries
Watu wanaotoka bara la Ulaya ni nani?

Are black britons "wazungu" ?
 
Back
Top Bottom