Waafrika waongoza kwa kuwa 'offline'

The Sheriff

JF-Expert Member
Oct 10, 2019
613
1,775
Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na International Telecommunications Union (ITU) imeeleza kuwa Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ndiyo kwenye watu wengi zaidi walio ‘offline’.
  1. Afrika ina zaidi ya 71% ya watu waliopo 'offline' wakati Ulaya ikiwa na kiwango cha chini zaidi cha 17.5%.
  2. Eneo la Ulaya lina matumizi makubwa zaidi ya internet (82.5%), huku Afrika ikiwa na kiwango kidogo zaidi (28.2)
  3. Kuna takribani 87% ya watumiaji wa internet katika nchi za Ulaya.
  4. Shirika la ITU linabashiri kuwa kufikia mwishoni mwa mwaka huu, 57% ya kaya duniani zitaweza kupata internet nyumbani.
  5. Inakadiriwa watu bilioni 4.1 wanatumia internet mwaka 2019, ikiwa ni ongezeko la 5.3% ikilinganishwa na mwaka 2018.
  6. Kati ya mwaka 2005 na 2019, idadi ya watumiaji wa internet imekuwa ikipanda kwa 10% kila mwaka.
UN.jpg
 
Back
Top Bottom