Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,729
- 50,081
Kwanini kama inaonekana waafrika Kila wakati tunalalamika kuhujumiwa na wazungu hasa Marekani?
Je, Afrika tuna mkataba na Marekani/wazungu kuwa ni lazima tuwategemee wao kuthibitishwa, kiuchumi, kijeshi na kijamii?
Je, Afrika tuna mkataba na Marekani/wazungu kuwa ni lazima tuwategemee wao kuthibitishwa, kiuchumi, kijeshi na kijamii?