GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,333
Siku zote nimekuwa nikijiuliza whats wrong with Africans? Ukirudi nyuma sana ukamsoma Walter Rodney namheshimu huyu msomi wetu wa afrika katika kitabu chake cha how europe underdeveloped Africa. Ameelezea mengi yakiwepo malalamishi mengi tu kama kawaida yetu tukiwalaumu wazungu n.k .
Nikija kusoma habari zetu waafrika na ukisoma pia Heart of darkness utaona sisi waafrika toka miaka na miaka tuna matatizo. Ukiona hivyo havifai nenda kasome the River between, No longer at easy and Things fall apart utaona hata waafrika wenzetu wanakiri tuna tatizo. Miaka na miaka tumekuwa tulilalamika wazungu wametutawala nikawa najiuliza nikitizama huko nyuma ukiangalia kwenye misafara ya utumwa wazungu/waarabu watano wanaswaga msafara wa waafrika wenye nguvu 50 n.k .
Najiuliza hawa babu zetu walikuwa wamerogwa na nani hata ufahamu wao haukuwa na uwezo wa kufunguka na kukataa hali hiyo dhidu ya waarabu na wazungu wachache wenye bunduki kadhaa na viboko? Zaidi nakuja kusikitika kuwa tulikuwa tunauzana sisi kwa sisi hapo ndo nachoka kabisa na kujiuliza kweli sisi si nyani? Sawa miaka hiyo tutaoa excuses nying sana turudi baada ya uhuru.
Nini kimefanyika?
Tumezifisadi nchi zetu na kuwatajilisha wazungu, wahindi, waarabu na sasa wachina. Hapa tunamsingizia nani? Baada ya uhuru nchi zetu zimeendelea kuudhalilisha uafrika ukiangalia mauaji ya Kimbari, ukiangalia Somali, Sudan, Congo, Centre Afrika, Nigeria, Libya, Syria n.k hapa tunaweza kutoa majibu mepesi ya kivivu kuwa wazungu wanatuchonganisha.
Tumeendelea kuuana wenyewe kwa wenyewe na kufisadi nchi zetu. Angalia viongozi wetu walivyojilimbikizia mali wao na familia zao. Akina Mobutu, Ghadaff, Kikwete, Mkapa, Bokassa n.k kana kwamba hawa wataish milele.Lakini haya yamekuwa hayaonekani kama ni tatizo. Ukisoma heart of darkness mwandishi anasema watu wa Congo ni Cannibal na ni kweli watu wa Congo walikuwa wanakula mbilikimo ni habari za kweli.
Huku Tanzania wanaua watu wenye albinism ili washinde kwenye chaguzi na pia kupata utajiri. Waafrika tulikosea nini tukapata laana hii? Ukiona watanzania wanapigana na kutaka kuuana kwa kutetea uarabu na uzungu utajisikia kichefu chefu. Bado waafrka hatujakua thamani ya ubinadamu na katika hili hatuoni vibaya kumwaga damu ya walio kinyume na mitizamo yetu ya kisiasa. Nenda Burundi, wanaokufa ni warundi hawa waafrika. Nenda Congo nenda Syria, Egypt n.k majibu mepesi utaambiwa wazungu wanatugombanisha.Waafrika ni kama ng'ombe tu hatuna tunaloweza amua.
Tunaswagwa tu kokote atakapo mwenye kutuchunga. Pengine wazungu wanajuta kwa kututawala miaka hiyo kwa kuwa walisababisha hata ndugu zao wafe, kumbe wangejikalia kwao na kuendelea kuchukua madini, mafuta na mazao yetu wakiwa wametulia tu sebuleni na ofisini mwao huku wanakunywa wine.
Mbona sasa tunawapelekea mpaka Twiga? Madini na kila watakacho. Ni hatari sana na aibu kuwa na akili za kiafrika. Na wazungu hawatak waone wanapatikana watu wenye akili kama zao.
Wanataka wapatikane wenye akili za kiafrika ili waafrika waendelee kuwa malofa.
Kuna sehemu tulikosea turudi nyuma sana kujichunguza.tujirekebishe.
Nikija kusoma habari zetu waafrika na ukisoma pia Heart of darkness utaona sisi waafrika toka miaka na miaka tuna matatizo. Ukiona hivyo havifai nenda kasome the River between, No longer at easy and Things fall apart utaona hata waafrika wenzetu wanakiri tuna tatizo. Miaka na miaka tumekuwa tulilalamika wazungu wametutawala nikawa najiuliza nikitizama huko nyuma ukiangalia kwenye misafara ya utumwa wazungu/waarabu watano wanaswaga msafara wa waafrika wenye nguvu 50 n.k .
Najiuliza hawa babu zetu walikuwa wamerogwa na nani hata ufahamu wao haukuwa na uwezo wa kufunguka na kukataa hali hiyo dhidu ya waarabu na wazungu wachache wenye bunduki kadhaa na viboko? Zaidi nakuja kusikitika kuwa tulikuwa tunauzana sisi kwa sisi hapo ndo nachoka kabisa na kujiuliza kweli sisi si nyani? Sawa miaka hiyo tutaoa excuses nying sana turudi baada ya uhuru.
Nini kimefanyika?
Tumezifisadi nchi zetu na kuwatajilisha wazungu, wahindi, waarabu na sasa wachina. Hapa tunamsingizia nani? Baada ya uhuru nchi zetu zimeendelea kuudhalilisha uafrika ukiangalia mauaji ya Kimbari, ukiangalia Somali, Sudan, Congo, Centre Afrika, Nigeria, Libya, Syria n.k hapa tunaweza kutoa majibu mepesi ya kivivu kuwa wazungu wanatuchonganisha.
Tumeendelea kuuana wenyewe kwa wenyewe na kufisadi nchi zetu. Angalia viongozi wetu walivyojilimbikizia mali wao na familia zao. Akina Mobutu, Ghadaff, Kikwete, Mkapa, Bokassa n.k kana kwamba hawa wataish milele.Lakini haya yamekuwa hayaonekani kama ni tatizo. Ukisoma heart of darkness mwandishi anasema watu wa Congo ni Cannibal na ni kweli watu wa Congo walikuwa wanakula mbilikimo ni habari za kweli.
Huku Tanzania wanaua watu wenye albinism ili washinde kwenye chaguzi na pia kupata utajiri. Waafrika tulikosea nini tukapata laana hii? Ukiona watanzania wanapigana na kutaka kuuana kwa kutetea uarabu na uzungu utajisikia kichefu chefu. Bado waafrka hatujakua thamani ya ubinadamu na katika hili hatuoni vibaya kumwaga damu ya walio kinyume na mitizamo yetu ya kisiasa. Nenda Burundi, wanaokufa ni warundi hawa waafrika. Nenda Congo nenda Syria, Egypt n.k majibu mepesi utaambiwa wazungu wanatugombanisha.Waafrika ni kama ng'ombe tu hatuna tunaloweza amua.
Tunaswagwa tu kokote atakapo mwenye kutuchunga. Pengine wazungu wanajuta kwa kututawala miaka hiyo kwa kuwa walisababisha hata ndugu zao wafe, kumbe wangejikalia kwao na kuendelea kuchukua madini, mafuta na mazao yetu wakiwa wametulia tu sebuleni na ofisini mwao huku wanakunywa wine.
Mbona sasa tunawapelekea mpaka Twiga? Madini na kila watakacho. Ni hatari sana na aibu kuwa na akili za kiafrika. Na wazungu hawatak waone wanapatikana watu wenye akili kama zao.
Wanataka wapatikane wenye akili za kiafrika ili waafrika waendelee kuwa malofa.
Kuna sehemu tulikosea turudi nyuma sana kujichunguza.tujirekebishe.