Waafrika hatuwezi kujitawala

Waafrika hatuwezi kujitawala

Ghosryder

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
10,708
Reaction score
4,577
South Africa, walitumia kila mbinu kuhakikisha ubaguzi wa rangi unatokomea na uhuru wa kweli na haki zinapatikana kwa waafrica. Baada ya hayo, wazungu walisema kuwa , waafrika haina haja ya kuwamaliza, wapewe mabunduki mengi tu yakutosha watamalizana wenyewe! Sasa wasouth wamefanikiwa kuwabagua wazungu lakini hivi sasa wanawaua waafrika wenzao ambao pia waliwasaidia kupata uhuru! Hivi kweli waafrika hata tulete vyama gani kama akili zetu hazikubadilika tutamalizana kijinga.
 
South Africa, walitumia kila mbinu kuhakikisha ubaguzi wa rangi unatokomea na uhuru wa kweli na haki zinapatikana kwa waafrica. Baada ya hayo, wazungu walisema kuwa , waafrika haina haja ya kuwamaliza, wapewe mabunduki mengi tu yakutosha watamalizana wenyewe! Sasa wasouth wamefanikiwa kuwabagua wazungu lakini hivi sasa wanawaua waafrika wenzao ambao pia waliwasaidia kupata uhuru! Hivi kweli waafrika hata tulete vyama gani kama akili zetu hazikubadilika tutamalizana kijinga.
Just because other African states supported South Africa during the liberation struggles doesn't mean that South Africans should remain silent when majority of Africans from all over the continent flocking to S. Africa.
South Africans have the right to protect their borders against illegal aliens.
.........chicken have come home to roost!
 
SA wanakila sababu ya kulinda kazi, ardhi, na nchi yao. Sioni tatizo mtu anapotaka haki yake kwenye nchi yake. Hata wewe leo wakijazana wasomali hapa Tz nakuchukua fursa zetu hutakua na budi kupigania haki yako. Miafrika yote imejazana SA unategemea wenye nchi wenyewe walioijenga hadi kufika hapo waende wapi

Tatizo ni njia ipi inatumika kutafuta hiyo haki.
 
SA wanakila sababu ya kulinda kazi, ardhi, na nchi yao. Sioni tatizo mtu anapotaka haki yake kwenye nchi yake. Hata wewe leo wakijazana wasomali hapa Tz nakuchukua fursa zetu hutakua na budi kupigania haki yako. Miafrika yote imejazana SA unategemea wenye nchi wenyewe walioijenga hadi kufika hapo waende wapi

Tatizo ni njia ipi inatumika kutafuta hiyo haki.

I couldn't agree more with you hommie
 
Just because other African states supported South Africa during the liberation struggles doesn't mean that South Africans should remain silent when majority of Africans from all over the continent flocking to S. Africa.
South Africans have the right to protect their borders against illegal aliens.
.........chicken have come home to roost!

SA wanakila sababu ya kulinda kazi, ardhi, na nchi yao. Sioni tatizo mtu anapotaka haki yake kwenye nchi yake. Hata wewe leo wakijazana wasomali hapa Tz nakuchukua fursa zetu hutakua na budi kupigania haki yako. Miafrika yote imejazana SA unategemea wenye nchi wenyewe walioijenga hadi kufika hapo waende wapi

Tatizo ni njia ipi inatumika kutafuta hiyo haki.

I couldn't agree more with you hommie

Hivi nyie wakuu mmeshaenda Amerika au Australia mkaona foreigners walivyo wengi kuliko hata undiginous? Mfano tu sensa ya mwaka jana Australia ina wachina 1million, wahindi 800k plus, wazungu 17m plus, waSouth Africa 500k plus.

Unataka kusema hawa locals hawaoni kuwa opportunity zao zinachukuliwa? Ishu ni system tu ya kudhibiti foreigners basi, SA huenda things are in shambles and its hard to know blue or green
 
Hivi nyie wakuu mmeshaenda Amerika au Australia mkaona foreigners walivyo wengi kuliko hata undiginous? Mfano tu sensa ya mwaka jana Australia ina wachina 1million, wahindi 800k plus, wazungu 17m plus, waSouth Africa 500k plus.

Unataka kusema hawa locals hawaoni kuwa opportunity zao zinachukuliwa? Ishu ni system tu ya kudhibiti foreigners basi, SA huenda things are in shambles and its hard to know blue or green

You forgot that Australia and usa have lottery visa, and you'll be deported ukizamia
 
That is Nationalism you can't avoid. Where locals can't get from their economy they always turn against the foreigners. Even In America , Sweden etc things are cooking hot guys. Mnaona chuki dhidi YA blacks hata kwa polisi. Mtu asitudanganye eti kuna WAGENI huko pia. Economy ikifikia suffocation and majority lose hope this is the result. We don't have to blame South Africans what they are doing could occur anywhere. The issue is not to control foreigners but make the economy satisfy the locals first. Work permits be stringent, high taxes to foreigners are kind of regulatory measures. Kilichomshinda HAruna MOshi SWeden Ni taxes on foreigners who work there as compared to locals. Tusishangae one day hiyo PIA kutokea hapa Dar ambapo foreigners are free even to sell karanga by the road side.
 
That is Nationalism you can't avoid. Where locals can't get from their economy they always turn against the foreigners. Even In America , Sweden etc things are cooking hot guys. Mnaona chuki dhidi YA blacks hata kwa polisi. Mtu asitudanganye eti kuna WAGENI huko pia. Economy ikifikia suffocation and majority lose hope this is the result. We don't have to blame South Africans what they are doing could occur anywhere. The issue is not to control foreigners but make the economy satisfy the locals first. Work permits be stringent, high taxes to foreigners are kind of regulatory measures. Kilichomshinda HAruna MOshi SWeden Ni taxes on foreigners who work there as compared to locals. Tusishangae one day hiyo PIA kutokea hapa Dar ambapo foreigners are free even to sell karanga by the road side.

Hi 5 mkuu!
You are absolutely right, mkuu.
You've nailed it home
 
Back
Top Bottom