Waafrika hatuna dhambi

Waafrika hatuna dhambi

Mzawa_G

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
669
Reaction score
1,479
Asikwambie mtu huku kwetu Afrika hasa kwa sisi weusi dhambi tunazoziona kwetu ni dhambi kubwa si kitu kwa mataifa yalioendelea.

Yaani ukifanikiwa kutumbelea nchi za nje zilizoendelea hasa America au Europe na kupata nafasi ya kwenda nights club zao au sehem za starehe utakutana na vitu vya ajabu ambavyo huku kwetu Africa hakuna serikali itakayoruhusu vitu hvyo vifanyike.

Mwaka huu nilipata fursa ya kwenda Brazil kwa uncle wangu ambae aliondokaga home zamani sana akazamia uko.

Basi siku moja Mjomba akasema twende club moja maeneo ya karibu na anapoishi tukapige mbili tatu, lkn nikichojutana nacho uko ndipo nikaamin Africa hakuna dhambi kabisa.

Nadhan shetani kwa sasa ndio anajaribu kuingia kwetu huku maana kule ameshamaliza kazi yake kitambo sana..
 
Aaah Tanzania hatuna mabasi mazuri nyie...

Nilienda Malawi nilifika usiku mwenyeji alinipokea tukafika kwake nikala nikalala.

Asubuhi nasikia honi za magari, nilipoangalia dirishani kumbe ni mabasi makubwa mazuri, mengine yanavuta trela ndogo, nilipo muuliza mwenyeji wangu akasema mpaka yana choo ndani 😂!!.
 
Aaah Tanzania hatuna mabasi mazuri nyie...

Nilienda Malawi nilifika usiku mwenyeji alinipokea tukafika kwake nikala nikalala.

Asubuhi nasikia honi za magari, nilipoangalia dirishani kumbe ni mabasi makubwa mazuri, mengine yanavuta trela ndogo, nilipo muuliza mwenyeji wangu akasema mpaka yana choo ndani !!
.
mkuu umeua
 
Aaah Tanzania hatuna mabasi mazuri nyie...

Nilienda Malawi nilifika usiku mwenyeji alinipokea tukafika kwake nikala nikalala.

Asubuhi nasikia honi za magari, nilipoangalia dirishani kumbe ni mabasi makubwa mazuri, mengine yanavuta trela ndogo, nilipo muuliza mwenyeji wangu akasema mpaka yana choo ndani !!
.
we kuna kwel!
 
Kuna jipya lingine zaidi ya tunayoyaona kwenye x

..Kama NI backdoor hata Wana jf wanakula rectum

.Lipi jipya labda uniambie ushoga wametuzidi Lipi jipya threesome inafanywa hata Iringa..
Tembea uone mpya mkuu
 
Aaah Tanzania hatuna mabasi mazuri nyie...

Nilienda Malawi nilifika usiku mwenyeji alinipokea tukafika kwake nikala nikalala.

Asubuhi nasikia honi za magari, nilipoangalia dirishani kumbe ni mabasi makubwa mazuri, mengine yanavuta trela ndogo, nilipo muuliza mwenyeji wangu akasema mpaka yana choo ndani 😂!!.
Huku hayaruhusiwi ni abnormal
 
Asikwambie mtu huku kwetu Afrika hasa kwa sisi weusi dhambi tunazoziona kwetu ni dhambi kubwa si kitu kwa mataifa yalioendelea.

Yaani ukifanikiwa kutumbelea nchi za nje zilizoendelea hasa America au Europe na kupata nafasi ya kwenda nights club zao au sehem za starehe utakutana na vitu vya ajabu ambavyo huku kwetu Africa hakuna serikali itakayoruhusu vitu hvyo vifanyike.

Mwaka huu nilipata fursa ya kwenda Brazil kwa uncle wangu ambae aliondokaga home zamani sana akazamia uko.

Basi siku moja Mjomba akasema twende club moja maeneo ya karibu na anapoishi tukapige mbili tatu, lkn nikichojutana nacho uko ndipo nikaamin Africa hakuna dhambi kabisa.

Nadhan shetani kwa sasa ndio anajaribu kuingia kwetu huku maana kule ameshamaliza kazi yake kitambo sana..
Labda upo brazil ya tegeta
 
Back
Top Bottom