Shedafa
JF-Expert Member
- May 21, 2008
- 802
- 173
Bado najiuliza hivi ni lini Afika tutafikia kiwango cha kuwajibika cha kiasi hiki?. Leo asubuhi Bob Qick, aliyekuwa mkurugenzi wa polisi kitengo cha counter terrorisim nchini Uingereza amejiuzulu. Kosa lake ni kushika karatasi vibaya na kuwawezesha wapiga picha kuona kilichomo, hata kusababisha operasheni ifanyike mapema kuliko ilivyopangwa. Najiuliza kama ingekuwa Tanzania au hata Afrika angejiuzulu?. Sasa kwa nini wasiendelee!, mtu umekosea unawajibika. Unapisha wengine nao watoe mchango wao, sisi hata kama kosa litasababisha hasara wewe umo tu, likisababisha mauaji wewe umo tu.