Wa Zanzibar wazeni haya

Wa Zanzibar wazeni haya

DOMA

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2011
Posts
944
Reaction score
367
Wazanzibar wengi wamekuwa wakilalamika kuhusiana na kunyonywa na Tanganyika na wao kukosa maendeleo. Lakini lakujiuliza ni juwa wananyonywa nini? Mbona uchumi wao unategemea karafuu,utalii na uvuvi ambavyo hawajaviendeleza? Wao uliwauliza utawasikia wakilalamika kuwa hawapati misaada toka OIC na Nchi za kiarabu kwa sababu wao sio nchi.
Swali la kujiuliza ni kuwa wanataka Zanzibar iwe Nchi kamili ili wapate misaada itakayowafanya waendelee? Hapo si hawatakuwa tofauti na Viongozi wa serikali ya muungano ambao wanawaza misaada huku wakiwa hawajui ni 1/3 ya maliasili zao wenyewe kama dhahabu,almas,tanzanite nk.
UKWELI
Maendeleo ya wazanzibar yataletwa na wazanzibar wenyewe mkiwa mnadai Zanzibar muwaze pia karafuu, samaki na utalii mtaendelezaje ili kujiletea maendeleo.
DOMA G
 
wazanzibar wengi wamekuwa wakilalamika kuhusiana na kunyonywa na tanganyika na wao kukosa maendeleo. Lakini lakujiuliza ni juwa wananyonywa nini? Mbona uchumi wao unategemea karafuu,utalii na uvuvi ambavyo hawajaviendeleza? Wao uliwauliza utawasikia wakilalamika kuwa hawapati misaada toka oic na nchi za kiarabu kwa sababu wao sio nchi.
Swali la kujiuliza ni kuwa wanataka zanzibar iwe nchi kamili ili wapate misaada itakayowafanya waendelee? Hapo si hawatakuwa tofauti na viongozi wa serikali ya muungano ambao wanawaza misaada huku wakiwa hawajui ni 1/3 ya maliasili zao wenyewe kama dhahabu,almas,tanzanite nk.
Ukweli
maendeleo ya wazanzibar yataletwa na wazanzibar wenyewe mkiwa mnadai zanzibar muwaze pia karafuu, samaki na utalii mtaendelezaje ili kujiletea maendeleo.
Doma g

asante inawezakuwasaidia watani zangu hawa!
 
Ukilala ukiamka unaiwaza zanzbr,hayo mawazo yako mshauri kikwete kuuza twiga wenu,zanzbr kwanza.
 
Hii ni safu huru mtu ana nafasi ya kutoa maoni yake, si kosa kuizungumzia Zanzibar kama kakosea njoo na hoja iliapatekuelimika.
 
Zanzibar ni sehemu ya Nchi yangu Tanzania lazima nizungumzie
 
Wazanzibar huu ni ushauri wa bure kwenu wekeni nguvu na akili yenu katika kukuza uchumi na maisha bora ndani ya muungano Kama mnategemea siku mtakuja kua nje ya muungano ni ndoto ambayo siku ukiiota ni siku unaicha hii ardhi! Nasema haya nikiwa na ushahidi wa kutosha Hakuna kitu au Mtu aliefanya Lolote la kiweza kuifanya Zanzibar iwe huru Kama mnavodai! Kumbuka huwezi umaliza unyayo wakokwakutembea! Hio sio soli ya kiatu!
 
Hiyo dhana ya kuwa wakiwa member wa OIC watapata misaada na kuendelea ni kujidanganya. Kuna nchi nyingi ambazo ni member wa OIC na bado ni masikinj wa kutupa, angalia Chad, Niger, Africa ya Kati. Hizi ni nchi za Kiislamu ambazo ni masikinj sana
 
hata wazanzibari wakiboresha uvuvi karafu sarafu ya tanzania inaporomoka kama gorofa ya kariakoo ni kupumuwa tu
 
Wazanzibar wengi wamekuwa wakilalamika kuhusiana na kunyonywa na Tanganyika na wao kukosa maendeleo. Lakini lakujiuliza ni juwa wananyonywa nini? Mbona uchumi wao unategemea karafuu,utalii na uvuvi ambavyo hawajaviendeleza? Wao uliwauliza utawasikia wakilalamika kuwa hawapati misaada toka OIC na Nchi za kiarabu kwa sababu wao sio nchi.
Swali la kujiuliza ni kuwa wanataka Zanzibar iwe Nchi kamili ili wapate misaada itakayowafanya waendelee? Hapo si hawatakuwa tofauti na Viongozi wa serikali ya muungano ambao wanawaza misaada huku wakiwa hawajui ni 1/3 ya maliasili zao wenyewe kama dhahabu,almas,tanzanite nk.
UKWELI
Maendeleo ya wazanzibar yataletwa na wazanzibar wenyewe mkiwa mnadai Zanzibar muwaze pia karafuu, samaki na utalii mtaendelezaje ili kujiletea maendeleo.
DOMA G

Mimi kama mzanzibarri nataka utaifa wangu wa zanzibar ndio fahari yangu kubwa, hata kama masikini, nataka kuona tuna balozi zetu nje tunapokutana na matatizo watusaidie, nataka kuona zanzibar nchi yangu inaweza kufanya mikataba na nchi yoyote bila ya kuingiliwa na nchi yoyote kama ilivyo sasa kuomba kibali kwa Membe.

Nataka kuona pesa ninayo ishika mkononi mwangu ina picha za railimali zetu tulizo nazo hata kama ni finyu ni fahari kwangu na kuona imeandikwa zanzibar, mimi ni mzanzibari naji proud kabisa tuache tupumuee.

Nataka kuona zanzibar tunailinda wenyewe wazanzibari sio kulindwa na watanganyika kwani hata watoto wetu wanazo sifa za kuwajibika hivyo kuvilinda visiwa vyetu.

Tunataka kuona zanzibar ina control wahamiaji ili kuweza kulinda rasilimali yetu kama ardhi kutokana na udogo wake.

Hivi vitu ni muhimu sana kwangu kuliko mali yangu nilio imiliki Tanganyika, utu wangu na utaifa wangu na uzalendo wangu ni bora zaidi kuliko chochote.

Ingawa umetoa hoja kwamba kuna sijui utalii karafuu na mengine ambayo tunahitaji kuyaendeleza lakini haya yalikuwemo kwenye muungano ni uti wa mgongo wa nchi yetu, ni sawa mtu akupe makali yeye akushikie mpini.
 
Wazanzibar huu ni ushauri wa bure kwenu wekeni nguvu na akili yenu katika kukuza uchumi na maisha bora ndani ya muungano Kama mnategemea siku mtakuja kua nje ya muungano ni ndoto ambayo siku ukiiota ni siku unaicha hii ardhi! Nasema haya nikiwa na ushahidi wa kutosha Hakuna kitu au Mtu aliefanya Lolote la kiweza kuifanya Zanzibar iwe huru Kama mnavodai! Kumbuka huwezi umaliza unyayo wakokwakutembea! Hio sio soli ya kiatu!

Hakuna muungano mgumu uliowahi kuwepo kama ule wa U.S.S.R je leo uko wapi?hii ni dunia nyengine mkuu.
 
Back
Top Bottom