Nashangaa namna siasa za majitaka zilivyoshamiri, magazeti na wanaoitwa waandishi tegemezi nao hawana tofauti, magazeti yamejaa taarifa ambazo hazina msaada wowote kwa watanzania, hatusikii juu ya Mafuta yetu, juu ya dhahabu yetu, juu ya ardhi yetu, juu ya kilimo chetu, juu ya afya zetu, juu ya utamaduni wetu, juu ya tunu za taifa, juu ya mustakabali wa taifa na utaifa wetu.
Heshma yetu imepotea mbele ya walimwengu, utu na nafasi yetu yimedharaulika, wengine wanatuamulia mambo yetu, kenya imetutawala, imetuzuia kujenga barabara serengeti, tumefyata mkia, wazalendo mkowapi?wapiganaji mkowapi? Wenye nchi mkowapi? Arumeru ni kitu kidogo sana ndani nchi, mama zetu, baba zetu, dada zetu, kaka zetu, wadogo zetu vijijin wanaliA hawana afya, magonjwa, njaa umasikini vimewazonga, tunafanya nini mijini? ni hili la pamela lowasa, Sioi sumari, na nassari? Kweli wandugu?
Nashindwa kuelewa, nchi imebaki na wasira tu? Nape? Ndo policymakers wetu? Mwigulu? Slaa? Zitto? Kweli jamani?
Wazee wa upanga pamoja na makumbusho mmebaki na uniform tu za kukatia tepe? Nawaona wakikata nyasi pale lugaro barracks wamechoka? Toeni ushauri walau? Jamii inasema shule yenu ndogo, kweli?
Bongo imebaki na mwanahabari mmoja tu- ulimwengu jenerali khalfan
Heshma yetu imepotea mbele ya walimwengu, utu na nafasi yetu yimedharaulika, wengine wanatuamulia mambo yetu, kenya imetutawala, imetuzuia kujenga barabara serengeti, tumefyata mkia, wazalendo mkowapi?wapiganaji mkowapi? Wenye nchi mkowapi? Arumeru ni kitu kidogo sana ndani nchi, mama zetu, baba zetu, dada zetu, kaka zetu, wadogo zetu vijijin wanaliA hawana afya, magonjwa, njaa umasikini vimewazonga, tunafanya nini mijini? ni hili la pamela lowasa, Sioi sumari, na nassari? Kweli wandugu?
Nashindwa kuelewa, nchi imebaki na wasira tu? Nape? Ndo policymakers wetu? Mwigulu? Slaa? Zitto? Kweli jamani?
Wazee wa upanga pamoja na makumbusho mmebaki na uniform tu za kukatia tepe? Nawaona wakikata nyasi pale lugaro barracks wamechoka? Toeni ushauri walau? Jamii inasema shule yenu ndogo, kweli?
Bongo imebaki na mwanahabari mmoja tu- ulimwengu jenerali khalfan