Wa Tanzania tumefikaje hapa?

Wa Tanzania tumefikaje hapa?

situjadiriane

Member
Joined
Jan 5, 2023
Posts
53
Reaction score
67
Wa Tanzania wenzangu ni vema tujiulize tumefikaje hapa? Ni mezaliwa Tanzania toka mwaka 1967 sijawai kuona Hali ya kutoaminiana Kati ya vyombo vya Dola na wananchi.
Niwazi kuwa enzi hizo kama mwananchi angefukuzwa kwa tuhuma zozote Inge kuwa hauweni kwake kama angeona polisi au kituo cha polisi angejiona yuko salama. Swali tumefikaje hapa? Raia wanaofia maisha Yao zaidi wanapokamatwa na polisi. Wananchi wamegeuza ukamataji wowote wa polisi kuwa utekaji.
Nawaomba selikari wafanye kila linalowezekana hofu hii ya wananchi kwa polisi iondoke. Polisi waondoe ubabe watumie njia halali za ukamataji. Kama hofu hii ya wananchi haitaondolewa kwa polisi wananchi hawatakubali mharifu yeyote akamatwe. Matokeo yake itakuwa Vita ya polisi na wananchi.
Madhara makubwa yameanza kuonekana wananchi Hawaii tayari kukamatwa na polisi. Hofu ya kutekwa imekuwa kubwa. Chonde chonde selikali Rejesheni umoja upendo na amani
 
Mnagawana keki ya taifa huku wengine wanakufa kwa kukosa wembe wa kutolewa nyuzi hospitalini, na bado mnaamini tutabaki wamoja! BOT, TRA, Bandari, wamejaa watoto wa watu flani na bado mnadhani tutabaki wamoja?

CCM wanaamini katika "kushinda" hata kwa mbinu ambazo zitaacha mpasuko mkubwa WA kijamii!
 
Wanadai kama unga upo wakutosha kusonga ugali kula ulale🤔
 
The Gestapo committed widespread atrocities during its existence. The power of the Gestapo was used to focus upon political opponents, ideological dissenters (clergy and religious organisations), career criminals, the Sinti and Roma population, handicapped persons, homosexuals, and, above all, the Jews.[4] Those arrested by the Gestapo were often held without judicial process, and political prisoners throughout Germany—and from 1941, throughout the occupied territories under the Night and Fog Decree (German: Nacht und Nebel)—simply disappeared while in Gestapo custody.[5] Contrary to popular perception, the Gestapo was actually a relatively small organization with limited surveillance capability; still it proved extremely effective due to the willingness of ordinary Germans to report on fellow citizens. During World War II, the Gestapo played a key role in the Holocaust. After the war ended, the Gestapo was declared a criminal organisation by the International Military Tribunal (IMT) at the Nuremberg trials, and several top Gestapo members were sentenced to death.
 
Nyie wapumbavu ndio mnasababisha watanzania wanaumizwa. Tulia tuendelee kuonyeshana umuhimu wa uhai hiyo serikali inayotunga sheria za kuumiza raia wake hauwezi kuwa halali. Wahalifu wanatunga sheria za kuumiza watanganyika kwa kisingizio cha uzalendo. Kaa kimya
 
Mkuu, kama wewe wa 1967, fanya kustaafu sasa, wenzio hatuna ajira kwa ajiri yako, umechuma, imetosha sasa.

Patna wako aliitwa "Azimio la Arusha" ameshaenda, anashangaa wewe bado upo
 
Mzee wetu Polisi ni ile ile labda hkuwahi kuwa mtu wa matukio.
Polisi imejiozea miaka mingi Sana na sio wao pekee Kuna wenzao pia.
 
Mkuu, kama wewe wa 1967, fanya kustaafu sasa, wenzio hatuna ajira kwa ajiri yako, umechuma, imetosha sasa.

Patna wako aliitwa "Azimio la Arusha" ameshaenda, anashangaa wewe bado upo
Pengine dalali!!!
 
Wa Tanzania wenzangu ni vema tujiulize tumefikaje hapa? Ni mezaliwa Tanzania toka mwaka 1967 sijawai kuona Hali ya kutoaminiana Kati ya vyombo vya Dola na wananchi.
Niwazi kuwa enzi hizo kama mwananchi angefukuzwa kwa tuhuma zozote Inge kuwa hauweni kwake kama angeona polisi au kituo cha polisi angejiona yuko salama. Swali tumefikaje hapa? Raia wanaofia maisha Yao zaidi wanapokamatwa na polisi. Wananchi wamegeuza ukamataji wowote wa polisi kuwa utekaji.
Nawaomba selikari wafanye kila linalowezekana hofu hii ya wananchi kwa polisi iondoke. Polisi waondoe ubabe watumie njia halali za ukamataji. Kama hofu hii ya wananchi haitaondolewa kwa polisi wananchi hawatakubali mharifu yeyote akamatwe. Matokeo yake itakuwa Vita ya polisi na wananchi.
Madhara makubwa yameanza kuonekana wananchi Hawaii tayari kukamatwa na polisi. Hofu ya kutekwa imekuwa kubwa. Chonde chonde selikali Rejesheni umoja upendo na amani
Ni serikali ya CCM ndio imetufikisha hapa leo na tunapaswa kuikataa kwa nguvu zetu la sivyo mambo yatakuwa mabaya zaidi.
 
POLISI WALISEMA WAO SIO WATEKAJI KWA HIYO SISI RAIA TUNASAKA HAO WAHALIFU
 
Uchu wa madaraka, watu hawataki kushaurika, hawataki kuambiwa, wanatumia nguvu nyingi kukaa madarakani
 
Mkuu, kama wewe wa 1967, fanya kustaafu sasa, wenzio hatuna ajira kwa ajiri yako, umechuma, imetosha sasa.

Patna wako aliitwa "Azimio la Arusha" ameshaenda, anashangaa wewe bado upo
Anza kwanza kumhimiza Samia; kwani huji ni wa lini huyo!
Mara zote akili zako zime pinda, sijui wewe ni mtu wa aina gani!
 
Back
Top Bottom