Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,760
- 14,005
mmmh kazi tunayo!Dar?Dar ni mji mkuu wa Tanzania na Dodoma n makao makuu ,Ninyi wa mbeya,iringa,kilimanjaro,sijui wapi simiyu wote ni wamikoani tu,Ninyi wa ..ee.. bac msije mkanipiga makofii..amkawii ninyi
wacha nijaribu kutoa darasa kidogo hapa. mkuu Dar es salaam ni mkoa mmojawapo kati ya mikoa 30 iliyopo hapa nchini kwetu Tanzania.
neno mkoani ni kielezi cha mahali kilichotokana na nomino mkoa.
kwa mantiki hiyo hata watu wa dar wapo mkoani.