Wa "Mikoani"

Wa "Mikoani"

Hivi wa Dodoma tutakuwa tunawaitaje baada ya dom kuwa jiji?
 
apo kama majengo dodoma
 
31421738_988933097931653_2790882745511837696_n.jpg
30841290_163822184291072_2517102318676082688_n.jpg
 
Kuna jamaa hapo kaketi chini barabarani. Aisee ni mimi pekee yangu namuona au? [emoji15][emoji15][emoji15]
 
Huku mikoani tumezoea kuona matukio haya ya kujituma....tuwekeeni tena vijana wa Dar wakicheza rede, na kukuna nazi.....tunataka kucheka jamani.
 
Back
Top Bottom