Wa "Mikoani"

Wa "Mikoani"

Hivi wa Dodoma tutakuwa tunawaitaje baada ya dom kuwa jiji?
 
apo kama majengo dodoma
 
31421738_988933097931653_2790882745511837696_n.jpg
30841290_163822184291072_2517102318676082688_n.jpg
 
Kuna jamaa hapo kaketi chini barabarani. Aisee ni mimi pekee yangu namuona au?
 
Huku mikoani tumezoea kuona matukio haya ya kujituma....tuwekeeni tena vijana wa Dar wakicheza rede, na kukuna nazi.....tunataka kucheka jamani.
 
Back
Top Bottom