Wa kulaumiwa CCM ni hawa

Wa kulaumiwa CCM ni hawa

Wana CCM tusitafute mchawi wa kwanini tunendelea kupoteza. Waliotuponza ni hawa:
  • Anna Makinda - Spika aliyehakikisha bunge linalinda masilahi ya serikali kwa kuzima hija za msingi na kuwaksirisha wapiga kura wetu.
  • Wabunge wa vitu maalum wa CCM kwa kura zao za ndiyoooo kwa maamuzi yasiyona maslahi kwa taifa. zilikera sana wananchi.
  • Taasisi ya rais na rais mwenyewe kwa kupuuza maazimio ya bunge yaliyomuhitaji katika utekelezaji wake.
  • Samwel Sitta na team yake akina Lukuvi na Wasira kukanyaga maoni ya wananchi ya katiba mpya.
  • Majina ya mfukoni ya ugombea urais

Umewasahau Hawa

* nanii na wenzake kwa kuwaporomoshea mitusi ya laana wabunge wa upinzani na kusababisha kuundwa kwa umoja wa katiba ya wananchi, ukawa.
 
Back
Top Bottom