Wa kulaumiwa CCM ni hawa

Wa kulaumiwa CCM ni hawa

Na wale wabunge wa CCM waliokuwa wanatoka povu kutetea uhalali wa Escrow bila kusahau jinsi Rais alivyolichukulia powa suala la Escrow katika hotuba yake.
 
ESCROW. It was real damaging. Watu wanagawana pesa kwenye lumbesa mchana kweupe? Milioni 10 za mboga?
 
Hivi mama Maria Nyerere aliwahi kushika ama kugombea nafasi yoyote serikarini?
 
Wana CCM tusitafute mchawi wa kwanini tunendelea kupoteza. Waliotuponza ni hawa:
  • Anna Makinda - Spika aliyehakikisha bunge linalinda masilahi ya serikali kwa kuzima hija za msingi na kuwaksirisha wapiga kura wetu.
  • Wabunge wa vitu maalum wa CCM kwa kura zao za ndiyoooo kwa maamuzi yasiyona maslahi kwa taifa. zilikera sana wananchi.
  • Taasisi ya rais na rais mwenyewe kwa kupuuza maazimio ya bunge yaliyomuhitaji katika utekelezaji wake.
  • Samwel Sitta na team yake akina Lukuvi na Wasira kukanyaga maoni ya wananchi ya katiba mpya.
  • Majina ya mfukoni ya ugombea urais

Kw kuongezea mambo yalionikera sana...
- Wapinzani kubaguliwa, kunyanyaswa na vyombo vya Dola kw uonevu.
- Vyombo vya Dola kushindwa kusimamia haki sawa kw kila mwanchi bila ubaguzi wa itikadi.
- Kashfa ya Tegeta Escrow na dharau kubwa ilionyeshwa ktk kuishughulikia.
- Sakata la Tokomeza, wananchi waliuawa bila sababu na madhara makubwa walipata bila sababu.
- Ujangili na usafarishaji wa Wanyama wetu kiharamia.
- Udhaifu mkubwa ambao haujawahi kutokea ktk Taifa letu ktk nafasi ya Hon PM, ni aibu na fedheha kubwa ambayo iliwaudhi sana Wananchi.
- Safari nyingi sana za nje zilizomhusisha Mkuu, wakati wananchi wakiweweseka na hali ngumu ya maisha, wakiteseka ktk umasikini mkubwa na kukosekana kwa huduma nzuri za kijamii.
- Ubaguzi mkubwa sana wa kiitikadi ktk TBC.
- Govt kudharau report ya CAG.
Wakati fedha zetu za umma zikiteketea bila Wahusika kuchukulia hatua za kufikishwa ktk vyombo vya Dola.
- PCCB kushindwa kuchukua hatua kw wale Mafisadi wakubwa.. Kwa kwel imekera sana.
- Govt kushindwa kununua vifaa muhimu vya vipimo, vitanda, mashuka na vifaa vingine kw ajili wagonjwa wetu ktk Govt Hospitals.
- Govt kushindwa kuwapatia wagonjwa wazee huduma bora zenye uhakika za matibabu.
- Elimu, badala ya kuwekeza ipasavyo na Govt kushiriki kikamilivu ktk Elimu yetu badala kufanya usanii wa kushusha viwango vya ufaulu, kw kweli imeumiza sana. Elimu yetu imepelekwa wapi?
- Gharama kubwa za masomo. Hakuna utaratibu wa kuweza kuwasaidia wanafunzi gharama za masomo - Masters, Phds...!
Etc. etc.
 
Mkuu, kwani ndugu yenu Lowasa si kahamia UKAWA? Sasa si muende kuungana naye kuliko kujipakazia kuwa wana ccm??
Huko CCM Lowassa ana watu wengi kuliko MAGUFULI, si kila anayempenda LOWASSA aliondoka naye, wengine walibaki kwa sababu maalum.
 
Makinda ndie aliyechafua hali ya hewa kuliko wote..........

huyu mama hata msimlaumu!! Alikua pale kivuli tu kwan alikua akiambiwa chakufanya na walomweka!! spika wa bunge ilikua enzi za msekwa na sitta!!
 
UKAWA bhna washawapa vijana hela wala hawajui ata cha hoja wala nn
 
R.I.P fisiem,hizo push up tutakuwa tunaanda tamasha maalum la push up na kupiga tumba mgeni rasmi mh raisi Mamvi a.k.a Eddo ata padlock alcoholic analijua.

Bado unaota mkuu CCM haiwezi kuondoka madalakani leo wala kesho
 
Huko CCM Lowassa ana watu wengi kuliko MAGUFULI, si kila anayempenda LOWASSA aliondoka naye, wengine walibaki kwa sababu maalum.
Mi mwenyewe na mwenyekiti wangu J tumebaki kimkakati ili tukiuwe chama vizuri,mnaofikiri kitashinda mnapoteza muda wenu bure.
 
Back
Top Bottom