Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Spendezwi na tabia ya kina dada zetu kila. wanapoona kamzimia mvulana na wanadet mkate wanakula. Lakini wakiona hakuna dalili za ndoa WANAJISHIKISHA MIMBA hivi nikwann. Hasa wanapoona kijana ana mwelekeo flani wa kimaisha (mzuri) Ni kwann hii hutokea?