Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

Ni muhimu kuendelea na uchunguzi wa hizi chanjo hadi tutakapojiridhisha. Ikumbukwe , Nkurunzinza na Magufuli wote hawakuweka lockdown na hawakushabikia chanjo, na wamefariki kwa ugonjwa wa moyo, tena baadat ya kushinda chaguzi nchini mwao. wapumzike kwa amani.
 
 
Chanjo ya Johnson & Johnson yapigwa marufuku marekani kwa sababu ya kusababisha damu kuganda
 
Tumia walau hata 1% ya uwezo wako kufikiri tu, wazungu wangetaka kuwamaliza ingekuwa simple sana na wasingetumia hizo njia ndeefu za kuwahimiza mtumie uzazi wa mpango

Mnaagiza, nguo, dawa, vinywaji kama cocacola, sijui maji, juice, kutoka kwa wazungu, mkikumbwa na janga wazungu ndio wanawapa dawa na vyakula, sasa wazungu wangeamua kuweka kemikali zinazoua taratibu na au kuondoa uwezo wa kuzaa wasingeweza?

Vifaa vya umeme, ujenzi, magari, mafuta, vifaa vya jikoni n.k wangeamua kuviwekea hata kemikali zinazoua taratibu au kuharibu vizazi wasingeweza?

Hitler aliua wayahudi milioni 6 miaka ya 1940s, kwa kutumia sumu, silaha na njaa hivi wazungu wangetaka kuuwa Waafrika kipindi kile wanawatawala wasingeweza?


Mpo overpopulated kwa sababu hamuwezi kujilisha, mnaharibu vyanzo vya maji ,misitu, masalia ya samaki, hamuwezi kulima kilimo chenye tija, kila mwaka ikitokea ukame kidogo tu mnakufa kama kumbikumbi sababu mnategemea mvua hadi karne hii..! Kenya hapo mvua imekata kunyesha kidogo tu watu wanakufa tayari, likitokea janga kidogo mpaka wazungu waje wawasaidie

mfano nisaada ambayo mnapewa na wazungu kwenye kila janga kimbunga hapo msumbiji, malawi na zimbabwe, janga la ebola hapo DRC, na Afrika magharibi, Malaria mnapewa misaada ya dawa, UKIMWI ndio nyie mnaongoza mnapewa misaada ya ARV na Condom, Miji yenu hamuwezi kuipangilia, Hamna mifumo mizuri ya maji taka na maji safi, mpaka mje muwekewe na wazungu au wachina, milipuko ya kipindupindu haiishi

Wazungu unawaita mashetani ila kama sio hao wazungu pengine Ukimwi, njaa, ebola, na malaria zingekwishawamaliza nyie WATU WEUSI


Vijana wenu wanajitoa mhanaga ili tu wafike Ulaya au Uarabuni kufanya kazi za ndani

Yaani Waafrika hamuwezi kujiendesha na kujisimamia wenyewe kwa mpangilio mzuri mkiwa wachache kiasi hiki, mkizaliana na kujilimbikiza si ndio itakuwa balaa kabisa?

Mnapikia mkaa manakata miti yenu kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba ndani ya miaka 50 ijayo mnaweza mkawa mmeimaliza, na vyanzo vya maji kukauka, hamuwaonei huruma hao watoto mtakao wazaa watakavyoteseka? Au unafikiri watazamia Ulaya na watapokelewa?

hamuwezi kutengeneza bidhaa zozozte zile, viwanda vya maana kwenye nchi zenu vinaendeshwa na na wahindi au waarabu vingine vyote mnaotoa China ama Ulaya

Inafaa mzaliane kwa uangalifu mpaye watoto mtakaoweza kuwapa huduma bora za afya, chakula, malezi na elimu bora,
Pengine wakiwa na elimu bora wataweza kujimudu zaidi kuliko kizazi cha sasa
Bila shaka utakuwa lisu
 
ACFBBBF2-CAFE-4EC1-A455-B486A582F3DA.jpeg
 
Update: 27/04/2021
Utafiti wabaini waAfrika weusi mimba zao zinaharibika kwa asilimia 40 zaidi ya watu wa asili nyingine. Kwanini? Tunalishwa nini? Tutafakari!
A86003F5-79F9-47A5-9117-F842234C5231.jpeg
 
Jinga kweli wewe, hujiulizi kwanini miaka ya sitini tu hapo mwanamke alikuwa akizaa watoto wachache basi ni watoto 12, mimi mwenyewe baba yangu ni mtoto wa 11 kati ya watoto 12 tena bila operesheni na kajifungulia nyumbani, wote walizaliwa salama! sasa nionyeshe ni wamama wangapileo hii wanauwezo wa kuzaa kama hivyo, kushika hata mimba moja tu hadi mkatapeliwa kwa dokta mwaka na kwa Mwingira, na tena kuzaa ni kwa operesheni, we huoni kuna vitu ambavyo tayari tunalishwa kidogo kidogo?
Wewe mbuzi una upeo mdogo sana
 
Kumbukumbu ya miaka 100 ya mauaji ya kimbari ya watu weusi huko Tulsa, Oklahoma, USA mwaka 1921 ni leo.

 
Upeo mdogo ni kujibu hoja bila hoja.
Babu yako alizaa watoto 12, alikuza wangapi ?

Leo mtu akizaa hata mtoto mmoja anakua hujui ni kwanini ?

Suala la ugumba halijawahi kutokuwepo. Lipo tangu zamani, au kwasababu kelele za media kuhusu wanawake wasio na watoto kuzidi ndio unahisi ukubwa wa tatizo umeanza leo ?

Wewe kwenu kuna wagumba wangapi ?

Au kwenu hamtumii vitu vya wazungu ?

Kuhusu matatizo wakati wa kujifungua, kunatokana na wajawazito wenyewe kutofanya mazoezi. Njoo miji mikubwa kama Dar ujionee.

Wanawake wakibeba mimba wanakuwa kama wanaumwa, kutwa nzima wamekaa kwenye mikeka mpaka miguu inavimba

Mimi mwenyewe ni mzaliwa wa kijijini, kule wanawake ndio wanafanya kazi. Mwanamke ana mimba lakini ndio anaenda kutafuta kuni milimani, kuchunga ng'ombe, kulima, kupalilia, kuchota maji kwanini apate matatizo wakati wa kujifungua ?

Tena kuna wengine wanafanyaga kazi mpaka mimba zinaharibika.

Punguzeni ujinga.
 
Okay jibu kwanza haya maswali.

1. Watapata hasara gani Waafrika tukiwa wengi?

2. Watapata faida gani tukiwa wachache?

3. Kwanini Waafrika na sio Waasia walio tishio kiuchumi?
Wana hofia tukiwa wengi tutakua majority. Wanahifia kua uwezo wa waafrika ni mkubwa sana. White elites wanatambua hivo na wanaheshimu power aliyonayo mtu mweusi. Ila kuna wazungu ambao ni wabaguzi na wamekaririshwa kuamini negativity juu ya muafrika.
Ukweli kuhusu waafrika wanaujua kuliko waafrika wenyewe. Kwa sababu historia yetu imefichwa. So hata capacity ya uwezo wetu wanaijua. So sisi ni threat kubwa sana tukiachwa free kuliko race nyingine
 
Ile karne wazungu wanaendesha biashara ya utumwa walipunguza idadi ya waafruka kuwa kiasi cha milioni 20 hadi 30 hivi. Na idadi ya waafruka ilikuwa asilimia 16 ya watu wote duniani. Baada ya utumwa tulishuka hadi 5 asilimia ya watu duniani. Sasa hivi tumerudi asilimia yetu 15 ya watu wote duniani. Kilichfanya mzungu asiue waafruka ni hali ya jews ambayo waliikuta ya joto sana wakaona hilo bora tuwaachie wenyewe weusi wakae .Na Mwenyezi MUNGU apishe mbali baada ya teknolojia kupanda na madawa mengi kugundulika mzungu hatosita kufanya aliyofanya amerika kwa wahindi wekundu na australia kwa waaborigine. Kitendo cha waafruka kukosa amani ni mkakati wa mzungu kupendelea kudhibiti idadi ya waafruka. Vita ya congo sio kwamba ni akili ndogo za mweusi bali wazungu wanaifinance waasi ili wa aendelee kuchimba madini. And believe hakuna kiongozi wa Afrika atakaekuwa na msimamo kama wa hayati Magufuli atakaetawala mpaka akamaliza . Atakufa kea cancer, ama pressure ama moto au ugonjwa wowote. Kule Amerika kusini walikufa marais kama sita si zaidi ndani ya miaka 3 na wote walikuwa wazalendo wanaopinga unyonyaji wa Marekani nchini meal,Hugo Chavez akiwa kinara,alipigwa beam ya mionzi toka satelaiti za Marekani akafa kwa cancer ya uvimbe kichwani. It is a matter of convenience ya mzungu atufute weusi lini au ikionekana kutufuta hakuna benefit kwake atatudhoofisha kwa civil wars za kubumbwa naye halafu atatubakiza na idadi kama ya aborigines na wahindi wekundu. Ghadafi aliuawa na muingereza na mfaransa , kosa ilikuwa ni kutengeneza kugharamia satelaiti ya mawasiliano yadola 500 milioni akawa amekata mrija wa europe ambao kila mwaka walikodisha nchi za Afrika kila mwaka dola mil
400. Hawakuvumilia alipgwa kisingizio cha dictator. Boko Haram ni creation ya mzungu kwa kuwa Ecowas alitaka kinda Jeshi la kutatua civil war kule A. Magharkbi mzunvu akaanzizha kundi kuitoa kwenye reli Nigeria aliyekuwa mpiga chpuo wa Jeshi la A. Magharibi ili adhoofike. Kwa hiyo mtoa mada asibezwe mzunvu hatupendi na atafanya lolote muda ukifika na hasa nahofia Dunia ikfika watu 10 bilioni kinyume na sasa ttuko 7 bilioni . Yajayo yanatisha, kwenye uchumi mzunvu hajui haki zac
 
Back
Top Bottom