CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Kwa nini unakimbilia siasa?
Nimesoma profile yako na kukuta wewe u mtaalamu wa mambo ya sukari.........kwa nini unaikimbia hii fani yako? Suala la sukari linaumiza vichwa vya watanzania na serikali pia. Tafadhali rejea shambani tulime miwa!
Nimesoma profile yako na kukuta wewe u mtaalamu wa mambo ya sukari.........kwa nini unaikimbia hii fani yako? Suala la sukari linaumiza vichwa vya watanzania na serikali pia. Tafadhali rejea shambani tulime miwa!