Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,553
....daah ! Karne hii unatumia pedi ya kienyeji !? Kikwapa kilioje !Mi sifui hadi itoboke ndio naibadilisha kuwa pedi
....daah ! Karne hii unatumia pedi ya kienyeji !? Kikwapa kilioje !Mi sifui hadi itoboke ndio naibadilisha kuwa pedi
haha.Si kweli, kwa ke vyupi sehemu moja hupita ktkt ya mto yaani upande mmoja huwa imekaa tenge
Huo ndio ukweli Leigwananhaha.
unafurahi nini wewe mtoto
Picha plsKuna wanaofuliwa na wapenzi wao, wake zao, waume zao (wa kwangu atafua ni kiwa mgonjwa labda). Unafua ukitoka kuoga, Jumamosi unafua na nguo zote chafu?
Mimi nimeweka kibeseni bafuni, zile nyeupe huwa ninaloweka na omo. Ninaanikia hukohuko bafuni nimenunua ile rail ya kuanikia nguo ni special kwa vyupi.
Mkuu, kuna watoto humu lazima watakukisea adabu kwa kupigia nyeto huu Uzi, alafu wanaunganisha na hiyo avatar.Kuna wanaofuliwa na wapenzi wao, wake zao, waume zao (wa kwangu atafua ni kiwa mgonjwa labda). Unafua ukitoka kuoga, Jumamosi unafua na nguo zote chafu?
Mimi nimeweka kibeseni bafuni, zile nyeupe huwa ninaloweka na omo. Ninaanikia hukohuko bafuni nimenunua ile rail ya kuanikia nguo ni special kwa vyupi.
kweli wewe ni mmaasai!Hivi kuna wanaume bado wanavaa chupi? msinione mshamba
naona kama ikishafika kwenye mapaja nitajihisi mwanamke.
Mtoto wa sister akiwa na miaka mitano alimwambia mama yake sivai chupi mimi sio mwanamke na sitaki dada aniogeshe ananichunguliaTena watoto wa kiume tunawavalisha vyupi wakishaanza kucheza mpira na wenazo huko nje sijui kuna lecture gani wanapata wakirudi wanajua jina la boxer
Madoa yanatokana na nin ?Hata nusu saa inatosha inategemea na madoa yenyewe.
Sipati picha harufu iliyopo unapozilindika ukichangia na mnavyoloweshaga chupi!Jumamosi nafua na kuanika nje
mmeo na wewe wote mnavaa chupi?kweli wewe ni mmaasai!
Ndiommeo na wewe wote mnavaa chupi?
Kila ninapoogaKuna wanaofuliwa na wapenzi wao, wake zao, waume zao (wa kwangu atafua ni kiwa mgonjwa labda). Unafua ukitoka kuoga, Jumamosi unafua na nguo zote chafu?
Mimi nimeweka kibeseni bafuni, zile nyeupe huwa ninaloweka na omo. Ninaanikia hukohuko bafuni nimenunua ile rail ya kuanikia nguo ni special kwa vyupi.
duuh... mimi siwezi kabisa....lbada kwasababu ya umasai wangu.Ndio
Kwahiyo wewe ukishavaa suruali basiduuh... mimi siwezi kabisa....lbada kwasababu ya umasai wangu.
boxer.Kwahiyo wewe ukishavaa suruali basi
We ndio umesema maana hujui ninachokifanyaSipati picha harufu iliyopo unapozilindika ukichangia na mnavyoloweshaga chupi!