Wakati wanaupokea huo ushauri nanyi ke mbadilike sio kuachia hovyo hovyo kisa uko huru na unajidhania umeanza maisha yako.... kitabu kinasomwa mpaka kurasa zinabadilika rangi!
Hakuna binadamu wanaotoa mimba kama hutu tusichana twa chuo...ukipona hapo unageuzwa chanzo kikuu cha single mothers. baadae mnakuja kuanzisha thread za kiajabu ajabu.
Wacha wale ujana, ili wakifika uzeeni watulie, wasije ruka step, wakayafanya haya muda ambao watashangaza jamii, hahah.
Hahhahahaa umejuaje kma wanafanya mambo ya ajabu kama ni discusion je au mtu na ndugu ake kama ulisha wahii kuingia labda
Kumbuka msichana anakiachia akijua yupo peke yake
Utu uzima dawa na kama wew unadiscusig may be ila hamna discusion ambayo ikiisha me na ke wanaenda kuogeshana
Kumbuka msichana anakiachia akijua yupo peke yake
Utu uzima dawa na kama wew unadiscusig may be ila hamna discusion ambayo ikiisha me na ke wanaenda kuogeshana
Kumbuka msichana anakiachia akijua yupo peke yake
Acha mbwembwe huo utu uzima ulio nao ni upi kwa avatar ya hiyo!!! hahahahaha natania mkuu
Graduate with A not Aids