Vyuoni wanaume mumezidi badilikeni

Vyuoni wanaume mumezidi badilikeni

wewe una wivu tu si uwaambie na wewe unataka maana unaonekana unashangaa hao wana nguvu kiasi gani za kuwapanga watano kwa siku

ushauri omba mechi ya kirafiki
 
mbona kawaida tu ...sasa ukute waliotoka seminarini ndo balaa
 
Wakati wanaupokea huo ushauri nanyi ke mbadilike sio kuachia hovyo hovyo kisa uko huru na unajidhania umeanza maisha yako.... kitabu kinasomwa mpaka kurasa zinabadilika rangi!

Hakuna binadamu wanaotoa mimba kama hutu tusichana twa chuo...ukipona hapo unageuzwa chanzo kikuu cha single mothers. baadae mnakuja kuanzisha thread za kiajabu ajabu.

HIV na upuuzi mwingine, unawaandama sana kwa sababu hamna maamuzi sahihi kila kitu msaidiwe, mpaka kufikiri na kuamua kuhusu maisha yenu????

Hakika wewe utakuwa una MUNGU ndani yako.
 
.....mmmh! wanafunzi wa chuo wana mbwembwe, sasa hivi atakuja mwingine na thread yake ooh sijui chuoni kwetu kuna hiki na hiki.

Wewe pia unaonekana ni tatizo, inakuwaje kila mwanaume anapoingia na demu na kutoka nae hadi wanaenda kuoga na baadae anaingia na mwanamke mwingine wa kulala nae, wewe unamfuatilia tu! Huna shughuli nyingine ya kufanya zaidi ya kufuatilia watu na mambo yao?

Nakushauri ufuate kilichokupeleka shule maana hutafanikiwa kumbadilisha kila mtu aishi kama vile wewe utakavyo mdogo wangu.
 
Vp wale wadada wa Vyuo vya Moro wanaojiuza maeneo kama kahumba hawaogopi HIV na je hawakuwaacha wachumba hao walikotoka?
 
Usiombe ukutane na binti kasoma Girls toka 4m one ha 6, hawajuagi namna ya kumkataa mwanaume, nakama alikuwa hagongwi vzr kutokana na kubanwa home. Atakizungusha hadi watu watakikinai. Km unataka vcheche chuo, tafuta first year wwaliosoma girls af ukiwakuta wanaoanza kuzexpiriance dushes, hawakatai maana wkt wapo sec zilikuwa hazwakolei, maana alikuwa anagongwa huku ana haraka ataulizwa umechelewa wap, lkn chuoni anakesha na dushe lina msugua. Kwann ucwachanganye! na ukiwa na dushe kubwa wanasimuliana, bac unaweza ukagonga wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom