thereitis
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 297
- 41
Heshima mbele wakuu.
Nina mdogo wangu amehitimu kidato cha nne; ufaulu wake ni Divisheni 4 point 30. naomba mnisaidie chuo cha ufundi ninachoweza kumpeleka ili apate mafunzo yatakayo msaidia kujiajiri. Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu na wadau wengine wa elimu ya ufundi.
Nawasilisha.
Nina mdogo wangu amehitimu kidato cha nne; ufaulu wake ni Divisheni 4 point 30. naomba mnisaidie chuo cha ufundi ninachoweza kumpeleka ili apate mafunzo yatakayo msaidia kujiajiri. Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu na wadau wengine wa elimu ya ufundi.
Nawasilisha.