kim jung shik
Senior Member
- Mar 26, 2014
- 129
- 23
jamani naomba kujuzwa qualifications zinazotakiwa ili kujiunga na mafunzo ya ualimu kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne kwasababu kwenye tangazo wameandikwa mpaka waliopata division III So sijaelewa vizur naomba msaada wa kuelimishwa