Vyuo vya clinical medical vya serikali

sima salva official

JF-Expert Member
Jun 21, 2017
210
89
Naombeni mnisaidie vyuo vya clinical medical vya serikali nina ufaulu wa c kwa chemistry B biology,c math na D physc na B ya english
 
Vingi tu mkuu, ingia NACTE utaviona... kwanza mpaka mda huu ulikuwa unasubiri nn kuomba kwa ufaulu mzuri kama huu... au unataka mpaka dealine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…