Unataka kwa level gani? Cert/Dip au Degree au juu zaidi?Habar zenyu wana JF!
Naomba msaad wenu kwa vyuo vizur ambavyo naweza soma IT au computer science nikatoka na uzoef(theory and practical) ambao utanifany nifanikiwe katka fani hizo either kwa kujiajir au kuajiriwa if possible.
DIT na ATCHabar zenyu wana JF!
Naomba msaad wenu kwa vyuo vizur ambavyo naweza soma IT au computer science nikatoka na uzoef(theory and practical) ambao utanifany nifanikiwe katka fani hizo either kwa kujiajir au kuajiriwa if possible.
UDOM wanafundish pract. kibao au sio!DIT computer engineering. Au nenda udom college ya cive pale mtiti wake si wa nchi hii.. ukifanikiwa kichomoka ueeiva kweli kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu apo cive kuna kila kitu. Ila mkuu ushindani ni wa hali ya juu. So lazima usome kwa bidii. Ukilegeza unarud nyumbaniUDOM wanafundish pract. kibao au sio!
Ahsante Mkuu kwa ushaur, nitaufanyia kaz panapo majaliwKwa bongoland ambako vyuoni ni kutafuta course work na gpa, theory tupu hakuna vitendo fuatilia wahitimu wa hizo koz
Bora hata usomee kilimo kuliko hizo kituu,
Kama ni mtundu na ulikuwa unauwezo toka utotoni sawa, ila kama unategemea lecture za bongoland jipangee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio vyuo vyote ni theory . Focus za vyuo zinatofautiana. Ndio maana hata syllabus haziko hazifanani.Kwa bongoland ambako vyuoni ni kutafuta course work na gpa, theory tupu hakuna vitendo fuatilia wahitimu wa hizo koz
Bora hata usomee kilimo kuliko hizo kituu,
Kama ni mtundu na ulikuwa unauwezo toka utotoni sawa, ila kama unategemea lecture za bongoland jipangee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ahsante kwa mawazoMwanangu apo cive kuna kila kitu. Ila mkuu ushindani ni wa hali ya juu. So lazima usome kwa bidii. Ukilegeza unarud nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
UDOM naona inapata sifa sana hapa JF. Nasikia pia kuna Unique Academy ya Dar wana degree za IT (siyo CS) ila ada yao iko relatively juu.Mi natak degree 2, naona inatosh kwa scholarstic education
Tusubiri wanao kifahamu waseme.Kinachomilikiwa na wahind!, vp kipo vizur Mkuu?
Mimi nimesoma pale diploma ya ICTWadau, wanaokijua chuo cha Unique Academy vizuri kwenye suala la IT, tufahamishane
Kipo vizuri sana mimi nimesoma pale diploma ya ICT ila sidhani kama wanadahili mwaka huu licha kuwa kipo kwenye guidebook ya 2020/2021Kinachomilikiwa na wahind!, vp kipo vizur Mkuu?
Kwanini hawadahili MKUU?Kipo vizuri sana mimi nimesoma pale diploma ya ICT ila sidhani kama wanadahili mwaka huu licha kuwa kipo kwenye guidebook ya 2020/2021