Dtclassic
Member
- Jul 16, 2022
- 12
- 4
1.Jamani kwanza naomba kuuliza nani anakifahamu chuo RUAHA UNIVERSITY??? kwa anayekifahamu plz maelezo kidogo kuhusu hicho chuo
2.naomba kwa anayejua anisaidie hivi anayesoma private chuo kikuu na mwingne government huwa wanazidiana nini kwenye swala la priority mbalimbali kama ajira mkopo na mengine mengi yanayohusiana na hayo. Msaada plz
2.naomba kwa anayejua anisaidie hivi anayesoma private chuo kikuu na mwingne government huwa wanazidiana nini kwenye swala la priority mbalimbali kama ajira mkopo na mengine mengi yanayohusiana na hayo. Msaada plz