Vyuo vikuu UDSM, UDOM mnachelewa nini kumpa udaktari wa heshima Masoud Kipanya

Kwa content zinazoleta mijadala mipana katika jamii bado naulizaa mnachelewa nini kumpaa heshima yake masooud kipanya???
 
Angekua mtu wa Nje wangempa au katoon zake zingekua za mlengo wa kulia...huko kushoto wakitoa na Serikali haipendi hizo katoon wataonekana wapo kinyume na waajiri wao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…