Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,992 69,391 Feb 2, 2021 #21 Gai da seboga said: Ni kweel kabisa bwasheee... Ila kwa harakat anazozfanya KP anastahili heshima Click to expand... BONGO NYOSSO
Gai da seboga said: Ni kweel kabisa bwasheee... Ila kwa harakat anazozfanya KP anastahili heshima Click to expand... BONGO NYOSSO
Gai da seboga JF-Expert Member Apr 19, 2019 482 969 Feb 2, 2021 Thread starter #22 The Infinity said: ""Udaktari wa Heshima"" sio mkuu.yenge kwamba kila mwanaume anabidi apewe/awe nao Click to expand... Kwahyo juhudi au harakat za KP huzioni?? Au unaon anacheza
The Infinity said: ""Udaktari wa Heshima"" sio mkuu.yenge kwamba kila mwanaume anabidi apewe/awe nao Click to expand... Kwahyo juhudi au harakat za KP huzioni?? Au unaon anacheza
Gai da seboga JF-Expert Member Apr 19, 2019 482 969 Oct 2, 2021 Thread starter #23 Kwa content zinazoleta mijadala mipana katika jamii bado naulizaa mnachelewa nini kumpaa heshima yake masooud kipanya???
Kwa content zinazoleta mijadala mipana katika jamii bado naulizaa mnachelewa nini kumpaa heshima yake masooud kipanya???
Isanga family JF-Expert Member Feb 25, 2015 14,597 25,719 Oct 2, 2021 #24 Angekua mtu wa Nje wangempa au katoon zake zingekua za mlengo wa kulia...huko kushoto wakitoa na Serikali haipendi hizo katoon wataonekana wapo kinyume na waajiri wao...
Angekua mtu wa Nje wangempa au katoon zake zingekua za mlengo wa kulia...huko kushoto wakitoa na Serikali haipendi hizo katoon wataonekana wapo kinyume na waajiri wao...
Soga za mzawa Senior Member Oct 27, 2017 128 152 Oct 2, 2021 #25 Mlenge said: Hivyo ni vyuo vikuu vikubwa Tanzania kwa ukongwe au kwa udahili. Click to expand... Udom ni chuo kongwe? Vipi Mzumbe Vs Sua
Mlenge said: Hivyo ni vyuo vikuu vikubwa Tanzania kwa ukongwe au kwa udahili. Click to expand... Udom ni chuo kongwe? Vipi Mzumbe Vs Sua