Vyuo vikuu kuanza November

Vyuo vikuu kuanza November

Kwani uchaguzi si unafanyika siku moja tu ambayo ni Jumapili na ni siku ya mapumziko, sasa iweje uchaguzi huo uvuruge taratibu za kufuatilia mikopo au ufuatiliaji wa mikopo kuvuruga uchaguzi?

Waraka huo hauna mantiki yoyote ile, na unaweza kupingwa mahakamani na wahusika kama watajipanga vizuri na kupata msaada wa sheria kwa wanasheria waliobobea.
 
Aseee ni nyingi hiyo kwa watoto wakulima...maana boom lakwanza litakuwa kam 700.point....so mjipange litokage mapema watu watanuee
 
Hapo wanavyuo hampgi tena kula labda mpande mabasi mkapgie vyuon mlipojiandikishia... polen haki yenu ya msing ya kupiga kula mmenyimwa kijanja
 
SERIKALI imetoa waraka unaovielekeza vyuo vikuu vyote nchini, kuchelewa kuanza muhula wa masomo kwa mwezi mmoja, ili kupisha uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Kwa mujibu wa waraka huo, badala ya kuanza Oktoba kama ilivyozoeleka, muhula kwa vyuo vikuu vyote katika mwaka huu, utaanza juma la kwanza la Novemba, baada ya kumalizika uchaguzi huo wa madiwani, wabunge na rais.

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Shukuru Kawambwa, alisema vyuo hivyo vitafunguliwa kati ya Novemba 4 na 5.
Hata hivyo alisema hatua hiyo haitokani na uchaguzi na kwamba inatokana na mabadiliko yanayotarajiwa kufanywa na serikali katika utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini.

"Fedha zinazohitajika kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi mwaka huu ni nyingi sana, zinafikia Sh250 bilioni ni pesa nyingi, kwa hiyo tunaandaa utaratibu mpya ambao tunatarajia utakuwa umekamilika ifikapo Novemba 3,"alisema Waziri.

@@[0:[0:1:CHANZO TAFADHARI]]
 
Tume imesema, kla alyejiandksha lazma atapga kura
 
Siasa kazini, hawana jipya hata 2010 ilikua hivivi. Hawataki wanachuo wapige kura.
 
Wengi watakosa mikopo,hivyo huenda wanaepuka wapinzani wasije wakaigeuza agenda ya kisiasa.Huenda wanataka iwe November ili uchaguzi uwe umeisha watu wakipiga kelele wakutane na washawasha.Ni hisia zangu tu!

Nilikuwa naangalia atakayetegua kitendawili hichi....hilo halina ubishi
 
Back
Top Bottom