mimi ni mmojawapo wa wanachuo UDOM ila ninijilaumu na kuilaumu nafsi yangu kwa kuwa UDOM kwani nilipata nafasi katika vyuo vitatu UDSM,SUA na UDOM nilishawishika kujiunga na UDOM baada ya kuelezwa na ndugu zangu na rafiki zangu kuhusu sifa za chuo hiki kumbe ni maneno ya kisiasa tu maneno matamu kumbe ubora hakuna kabisa, hii inatia uchungu kwa wapenda maendeleo, hali halisi ndani ya UDOM ukifika utalia
1.hakuna uhuru wa kujieleza, udikteta na u ccm umeezidi, ukitoa wazo zuri wanafikiri wewe ni mwana chadema na unatafutiwa zengwe kufukuzwa, wanachuo waliofukuzwa chuo mwaka juzi wengi ni wana chadema na wasiokuwa na kadi za ccm,kwani kipindi nimewasili chuoni katibu wa ccm kitivo cha elimu alinifuata anipe kadi ya ccm kwa madai kuwa wana ccm majina yao yanapelekwa kwa mkuu wa chuo na hawawezi kufelishwa au kufukuzwa ikitokea mgomo
2.watu wanaosoma kozi za biashara hawakuwa na semina badala yake wamefundishwa kupitia lecture na walimu ambao wanasoma masters udom hii ni aibu kwani walikuwa wakilipua mfano mtu anafundisha hesabu kwa projecta hii inasikitisha
3.kutumiwa kisiasa na wanasiasa kama shabiby, huyu alileta mashati ya ccm pamoja na magari kubebea wanachuo wakaandamane<mimi maandamano huwa ni hiari>kumpokea kikwete pamoja na kumchangia pesa ya kuchukua fomu huku vijijini kwao watu wakifa kwa njaa na shida ya maji hii itapelekea kutengeneza wasomi wapumbavu
4.kutokuwa na haki sawa kisiasa mfano wana ccm huweka matangazo yao na kugawa kadi bila kubugudhiwa lakini kwa chadema ni kosa
5.kukosewa kwa matokeo mara mkwa mara mfano leo mtu ana D anaenda kulalamika anapandiswa daraja au kushushwa kama akibishana na wakubwa
6.mkuu wa chuo bwana kikula kutukana wafanyakazi kuwa wote wako kwa ajili ya dhiki kwani wamepeleka CV ila yeye kachaguliwa na raisi,pia kuwaita wanafunzi wana haramu baada ya kudai haki yao ya kupewa field
7.chuo hakina mtaala wake kwani kina kopi UDSM na vyuo vya nje
8.kuchaguliwa wanafunzi wa HKL kusoma kozi kama B.COM na BBA ambapo kimsingi hawakustahili kuzisoma
nimehitimu hivi karibuni unalosema ni kweli. Vyuo vimeanza kua hovyo kuliko nilivyodhani kabla sijajiunga na elimu ya juu. Hapo udsm japochou kikongwe lakini reference books ni haba usipime. Nakumbuka vitabu vinne vya uchumi tulikua tunagombania wanafunzi 800 kutoka bcom and economics degree. Vyoo havifai ni uti kila kukicha, mabweni hayatoshelezi, hela za mafunzo kwa vitendo hazitolewi kwa uwiano na kwa muda, vyumba vya mihadhara tumejazana hadi tunakaa chini, walimu wasio na teaching/delivering skills ndo wamejazana huku proferssors competent kama baregu wakiondolewa chuoni. Malazi duni, hata maeneo ya kufanyia discussion(vimbweta) vimevunjika and no replacement. Huku ndo kuboresha elimu inakojisifia serikali kweli?!!!
mimi ni mmojawapo wa wanachuo UDOM ila ninijilaumu na kuilaumu nafsi yangu kwa kuwa UDOM kwani nilipata nafasi katika vyuo vitatu UDSM,SUA na UDOM nilishawishika kujiunga na UDOM baada ya kuelezwa na ndugu zangu na rafiki zangu kuhusu sifa za chuo hiki kumbe ni maneno ya kisiasa tu maneno matamu kumbe ubora hakuna kabisa, hii inatia uchungu kwa wapenda maendeleo, hali halisi ndani ya UDOM ukifika utalia
1.hakuna uhuru wa kujieleza, udikteta na u ccm umeezidi, ukitoa wazo zuri wanafikiri wewe ni mwana chadema na unatafutiwa zengwe kufukuzwa, wanachuo waliofukuzwa chuo mwaka juzi wengi ni wana chadema na wasiokuwa na kadi za ccm,kwani kipindi nimewasili chuoni katibu wa ccm kitivo cha elimu alinifuata anipe kadi ya ccm kwa madai kuwa wana ccm majina yao yanapelekwa kwa mkuu wa chuo na hawawezi kufelishwa au kufukuzwa ikitokea mgomo
2.watu wanaosoma kozi za biashara hawakuwa na semina badala yake wamefundishwa kupitia lecture na walimu ambao wanasoma masters udom hii ni aibu kwani walikuwa wakilipua mfano mtu anafundisha hesabu kwa projecta hii inasikitisha
3.kutumiwa kisiasa na wanasiasa kama shabiby, huyu alileta mashati ya ccm pamoja na magari kubebea wanachuo wakaandamane<mimi maandamano huwa ni hiari>kumpokea kikwete pamoja na kumchangia pesa ya kuchukua fomu huku vijijini kwao watu wakifa kwa njaa na shida ya maji hii itapelekea kutengeneza wasomi wapumbavu
4.kutokuwa na haki sawa kisiasa mfano wana ccm huweka matangazo yao na kugawa kadi bila kubugudhiwa lakini kwa chadema ni kosa
5.kukosewa kwa matokeo mara mkwa mara mfano leo mtu ana D anaenda kulalamika anapandiswa daraja au kushushwa kama akibishana na wakubwa
6.mkuu wa chuo bwana kikula kutukana wafanyakazi kuwa wote wako kwa ajili ya dhiki kwani wamepeleka CV ila yeye kachaguliwa na raisi,pia kuwaita wanafunzi wana haramu baada ya kudai haki yao ya kupewa field
7.chuo hakina mtaala wake kwani kina kopi UDSM na vyuo vya nje
8.kuchaguliwa wanafunzi wa HKL kusoma kozi kama B.COM na BBA ambapo kimsingi hawakustahili kuzisoma
Wewe kwa nini ulikimbilia nje ya nchi kutafuta hiyo elimu badala ya kuitafuta hapa udanganyikani? Acha kupotosha watu hapa. Angalau wacha wengine wachangie si watu wa aina yako!Acheni watu wasome, hayo ndo maendeleo yenyewe. Nyie mnataka mwe na chuo kimoja kama cha enzi zile??
Acheni hizo, na uhakika mtu aliyefika chuo kikuu hata kama kipo chini ya mwembe ana uelewa mkubwa wa kupambanua mambo kuliko yule wa LY.
kaizer, we do not have to re-invent the wheel! Unataka tanzania tuanze na first generation computer kwa sababu tu tulichelewa! La hasha, na usisahau jambo la msingi-- maadili ya kulewa yamedorora sana, kwa maana hakuna uangalizi wowote unafanywa kuona wale ambao bado hawajapata ujuzi wanafanya kazi yao na kuongoza jinsi ya kuiboresha!
Nasema haya nikiwa na uchungu, maana kwa ajili ya siasa vyuo vikuu vimefurika, vcs vyuo vya uma ni wanasiasa (wengine wanajiita wenyewe ni wana-usalama) hawajui na wala hawataki kujua kinachoenedelea....tas wanafundisha (oh ta hana masters bado, ukiwa na masters nzuri unapewa hadhi kufundisha chuo kikuu, inakubalika), hawa ni fresh kabisa tena wengine (kina mama nisameheni tu) wanapewa nafasi za utas kwa upendeleo lakini bado sio wajuzi walau kwa yale waliyoyasoma kwenye bachelor.....
Nahofu kama kweli vijana wetu wanaweza kuchuana na wenzao kwingine....zamani a-level wa tz akiingia urusi licha ya shida ya lugha alikuwa anatisha, siku hiziii mmhjhhhhh na adv dipl za mzumbe, ardhi wakati ule wakifika ngambo, walitisha sasa siku hizzzzz z sijujiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kutoka kwa wachangiaji kuna hoja mbili pingamizi
1. Tuwe na vyuo watu waende chuo bila kujali kiwango cha elimu
2. Tunahitaji wasomi wa vyuo vikuu wapikwe waive.
Kwa kweli hoja namba moja ni kuogopwa kama ukoma. Yaani tudilute elimu ili tuwe na numbers?
Mlimani ya miaka ya sabini ilikuwa kitovu cha elimu, watu wanasoma na kuelimika. Msomi kama ku-challenge na kuelezea your side of teh story huwezi ni kufanya ni upuuzi mtupu.
Nasubiri nione hizo voda faster za UDOM
Wake up guys!
Kaizer,
Ningependa kukujibu kuwa UDSM ilianza ikiwa na waalimu wengi tu wa kutosha kutoka Uingereza, Jamaica, na kwingineko waliokuwa well qualified. Wakati huo serikali ilijitahidi sana kuajiri the best minds there was in the academic world. Sizo hizi porojo za sasa za kujenga UDOM bila kufanya maandalizi stahiki na juzi namsikia mkulu wa CCM akijidai kuwa mwaka huu waalimu elfu 15 wanafuzu masomo. UDSM ya 60-70 ilikuwa an intellectual oasis.
Nimependa upembuzi wako. Kwani definition ya Chuo Kikuu ni ipi? Ni majengo Mazuri? Je Ni ni itofauti kati ka chuo kikuu na Shule za sekondari?
Hayo ndo ya msingi hapa. Tanzania ndiyo tuna uhaba wa watalaam katioka nyanja mbalimbali Lakini si kigezo cha kufanya mass production ya wasomi! Mimi ningefurahi kama Wangeruhusu ama Ku import Maprofesa na madakatari wa nje kuziba pengo badal ya kuwatumia Ma TA kUFUNDISHA!! Na hii imetiwa chumvi na vyuo binafsi huko ndo kumeoza. Kuna jamaa ambaye sidhani hana hata degree. Na ni senior Lecturer katika one of the chho kikuu binafsi na anaotoa wanafunzi wenye shada First class GPA 4.9! na makampuni yanapotoa nafasi katika young graduates wanaangalia GPA sasa 4.9 Utashindana naye nawe Upper ama lower seconda ulioipta ya mbinde? Sijui Hili Bomu lakini litatulipukia. One sign ni kuwa kazi nyingi za maana nje nchi tutasikia hadithi, na utandawazi huu ukitangaza nafasi za kazi mtanzania hatiii mguuu!! akiitwa interview madudu!! TUNAJIKAANGA KWA MAFUTA YETU WENYEWE!:confused2:
Kutoka kwa wachangiaji kuna hoja mbili pingamizi
1. Tuwe na vyuo watu waende chuo bila kujali kiwango cha elimu
2. Tunahitaji wasomi wa vyuo vikuu wapikwe waive.
Kwa kweli hoja namba moja ni kuogopwa kama ukoma. Yaani tudilute elimu ili tuwe na numbers?
Mlimani ya miaka ya sabini ilikuwa kitovu cha elimu, watu wanasoma na kuelimika. Msomi kama ku-challenge na kuelezea your side of teh story huwezi ni kufanya ni upuuzi mtupu.
Nasubiri nione hizo voda faster za UDOM
Wake up guys!
Hivi chuo ni maprofesa tu?Kwa nini watanzania hawataki kuongelea mambo ya msingi kwa undani. Mfano elimu ya chuo kikuu leo inafanana na ya shule za kata. wakubwa wanatamba majukwani wameanzisha vyuo vikuu vingi kama UDOM. lakini hawaoni matatizo yaliyopo kwenye vyuo hivyo.
Hakuna vifaa,Hakuna Maprofesa,majengo hayatoshi. Watu wenye Masters ndio walimu ambao nao wamesoma kwa kuunga unga tu. vyuo vikuu vya namna hii vitatufikisha wapi.
Mtoto kafaulu kwa kubahatisha darasa la saba halafu kaenda shule ya kata kafaulu kwa kukairiri kaenda chuo kikuu UDOM. Hapa kweli tutasema tumezalisha msomi wa kuiomboa nchi hii katika ulimwengu huu wa utandawzi, soko la pamoja nk. Tanzania inaelekea pabaya. lakini viongozi wetu wanafurahia sifa rahisi rahisi. Wanchi nao wamelewa fikra za kipumavu za zidumu fikra za mwenyekiti. Taifa hili linahitaji mwelekeo mpya . we are in wrong boat and wrong direction.
Ndio maana unafeli wewe.Mwenzangu hii habari yako imenifurahisha sana sasa naomba unisaidie. Mie nasoma TPSC DAR CAMPUS nina assignment yangu ya ku submit tarehe 30 Agosti, 2010. sasa naomba unisaidie majibu, maana umeonekana utakuwa msaada mkubwa sana kwangu ili niongeze course work japo ni nzuri
swali ni liko hivi:
Write SWOT analysis for higher learning institutions and suggest strategic objective that should be addressed so as to align curriculum with the economic demands in Tanzania and world at large.
natanguliza shukurani zangu. endapo utakuwa tayari kunisaidia ndugu yangu na mwingine atakaye guswa basi naomba majibu unitumie katika e-mail addesses hizi: esther_machapo@yahoo.com, esta_venance@hotmail.com au estavenance@gmail.com simu zangu ni 0754 089 043 0789 089 043 na 0655 089 043
Mungu awabariki wote watakaoguswa kunikomboa ili nijazie course work yangu.
Nimekuelewa ila wanafunzi wa UDSM pamoja na kuchaguliwa na marks za juu ni vihiyo kuliko maelezo. Kwa nini usinunue vitabu vyako. Baada ya kugraduate utaacha kabisa kujisomea? Kitu kingine asilimia kubwa ya wanafunzi wa mlimani ni wavivu katika suala zima la matumizi ya internet! Nawajua wengi lakini sitaki kugeneralize maana wazuri wa computer pia wapo! Sitaki kuisifia SUA kwa vile nimesoma pale lakini ina wanafunzi bora zaidi hata mkikutana kazini. Conflict of interest declared lakini haikuathiri ukweli wenyewe!
Kumbe ni tatizo lako la u coservative. teh teh teh, Sio tatizo la UDOM. Kuna senteso umesema yani inazifanya hoja zako zote kua zero.