Mkuu UDSM ndio akina Prof. Mkumbo muda wote kuandika Makala za Magazetini ambazo hata felia ana andika kama uongo wa jana wa ndg yetu
Manyerere Jackton
No Strong Publications for the betterment of the Nation!!
Akina Dr. Bana muda wote kuongea uongo ITV na BBC na Prof. Shivji kutuandikia Uongo ktk Katiba!! Daah