vyuo norway kwa ajili ya masters

poleni kwa mlisosoma vyuo vya kata. well kuhusu gpa kila kitu kimeanishwa ktk hiyo site itakuelekeza qualification nk soma kwanza uelewe vizuri ikiwezekana hata siku chache then ndo uanze kuaply
 
we aply kaka usiogope kujaribu
uzuri tanzania imekuwa exempted kwenye masuala ya LUGHA wanaasume tunajua kiingereza kw ahivo huna haja ya kusubmit kile cheti cha kusomea lugha pale british council au pale udsm
UDSM, MZUMBE NA SUA??? Hizi ndo qualifications ili udahiliwe??
 
vyuo vingiene jaribuni wandugu usigoope hutapoteza kitu kujaribu umejuaje kama hawatakuchukua? mda mrefu ndio hawa jamaa wanathamini vile vyuo ya serikali mfano udsm au makerere mzumbe nk walikuwa hawana imani kupokea wanafunzi waliosoma vyuo vya private sijajua kama wameshaacha hiyo tabia . tuwe na tabia ya kujifunza kujaribu,
kwa walio sweden labda watawapa link za huko na vyuo vyao ila kwa norway bado milango iko wazi, mliosoma science kama mainjinia changamkieni NTNU university ingia google andika utaona, kwa wachumi kuna bergen chuo kizuri sana na oslo,arts pia kuna NTNU,OSLO,TROMSO,


hoooovyo na umeharibu kuleta bwebwe za UDSM,SUA na mzumbe..loh nmechoka kbs
 
Ntaomba later today this is a golden chance and infact kujaribu si free,thanx mkuu
 
Back
Top Bottom