nsharighe
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 1,461
- 2,249
Mlete Mbuyuni hapa nimpangishe kwangu80 chumba na sebure kinyerezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlete Mbuyuni hapa nimpangishe kwangu80 chumba na sebure kinyerezi
Wadau wa kinyerezi kumbe mpo humu!? Zimbili au Mbuyuni?Karibuni sana Kinyerezi...!
Mzee mbona hata mimi nakaa shule, au naweza shukia msikitiniKinyerezi shule...!
Kiongozi kwema naitaji chuma cha bajet hiyo 15,000 mpaka 20,000 mwisho nitapataUnapata hata ukitaka cha 15,000/= vipo shekhe wangu ila ni uswahilini baba.
Mzee mbona hata mimi nakaa shule, au naweza shukia msikitini
Shule ya msingiHahahah shule sehemu gani mzee...?
AiseeNatafuta nyumba ya kupanga vyumba viwili sebule na jiko, malipo miezi mitatu,mitatu contact 0783161457
Shule ya msingi
Kamanda
Daah! Wee jamaa bana pale kuna nyumba kweli zaidi ya ule mjengo wa ridhiwani pembeni ya bodabodaKwa hiyo unaishi kwenye ile barabara kubwa aisee...?
Daah! Wee jamaa bana pale kuna nyumba kweli zaidi ya ule mjengo wa ridhiwani pembeni ya bodaboda
Yaani nashuka shule navuka upande wa kulia nikiwa natoka town naelekea kule juu shule ya msingi au nashukia msikini
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Hata mchana kweupe wako kazini duh hatari sana .Huku hatari aisee Kinondoni ndogo imekuwa ni shida kabisa...!
Achana na karikoo.Oooh Owkay kama unaenda Hospital au kama unaenda Kariakoo...?
Pale nyumba zipo bhana si pale wanapoweka masofa opposite na wanapouza mauza mzee...!
[emoji2][emoji2][emoji2]
Hata mchana kweupe wako kazini duh hatari sana .
Kule hakufai mzee ikifika saa moja jioni mnaanza kukwepa malaya kila uchocho hapana kwa kweli.Achana na karikoo.
hospital napita kuna njia flani hivi katikat ya majengo ya shule ya msingi ambapo maji hujaa hapo sasa napandisha kule juu
Kwa ditopile/kwa fara
Achana na karikoo.
hospital napita kuna njia flani hivi katikat ya majengo ya shule ya msingi ambapo maji hujaa hapo sasa napandisha kule juu
Kwa ditopile/kwa fara
Napafahamu hapo kwa mbele kuna kama cafeteria hivi ktk fremOooh Owkay mi nipo huu mtaa wa kwanza wenye Casino ya Ridhiwani.