Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Kwa mahali tulipofika Tanzania, haijalishi hili litafanikiwa mwaka gani, ila kwa uozo uliopo kwenye hili Taifa na mifumo yake endapo mabadiliko yakitokea, iwe kwa njia halali au zisizo halali, baada ya kuipatia nchi Katiba Mpya, hatuna budi kuzifanyia mabadiliko na kuziunda upya kabisa Taasisi zifuatazo ili Taifa likapate kukombolewa.
1. Mahakama
2. TAKUKURU
3. Ofisi ya DPP
4. Tume ya Taifa ya Uchaguzi
5. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
6. TISS
7. Polisi
8. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
9. Jeshi la Wananchi
10. Utumishi wa Umma generally
11. Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
No Reforms No Election ✊️ ✌️
1. Mahakama
2. TAKUKURU
3. Ofisi ya DPP
4. Tume ya Taifa ya Uchaguzi
5. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
6. TISS
7. Polisi
8. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
9. Jeshi la Wananchi
10. Utumishi wa Umma generally
11. Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
No Reforms No Election ✊️ ✌️