Vyombo vyetu vya habari mbona viko kimya kwenye suala la forex Arusha au hii sio habari?

MAJIYAPWANI

JF-Expert Member
Oct 1, 2017
966
1,225
Habari wanajamvi

Baada ya kumaliza mishemishe zangu hapa mjini za kutafuta ugali wa kila katika kupekuapekua na kuperuzi mitandaoni nkaona hii habari ya wajeda ku exist kwenye maduka ya kubadili fedha huko Arusha maarufu kama FOREX.

Nimekaa kwenye TV hapa home leo mpka muda wa habari saa 2:00 si ITV, EATV, CHANEL 10, STARTV, CLOUDS, TV E, TABIBU TV WALA TBC walioonesha.

Je, hii sio habari au waandishi waliogopa kwenda kuwahoji wajeda waliokuwa kwenye maduka ya FOREX chuga kuhofia mchaka mchaka watakaopewa au habari ni za korosho tu?

NAWASILISHA

Soma >> https://www.jamiiforums.com/threads/arusha-maduka-yote-ya-kubadilishia-fedha-za-kigeni-forex-yasimamiwa-na-jwtz-wananchi-watakiwa-kwenda-benki-kuu.1510774/
 
kuna ishu nyingine sio za kuripotiripoti hovyo ni ajeri wamejiweka pembeni.

nikukumbushe tu wazee wa mabaka walipo ingia kibiti uliona vyombo vya habari vikiendelea kitoa habari? za kuambiwa changanya na za kwako vinginevyo tutakutafuta kwa tochi na usijulikane ulipo
 
kuna ishu nyingine sio za kuripotiripoti hovyo ni ajeri wamejiweka pembeni.

nikukumbushe tu wazee wa mabaka walipo ingia kibiti uliona vyombo vya habari vikiendelea kitoa habari? za kuambiwa changanya na za kwako vinginevyo tutakutafuta kwa tochi na usijulikane ulipo
DAAAH MKUU MBONA KM UNANITISHA TU MKUU KWANI KUNA UBAYA RAIA WAKIJUA INA MAANA ILE YA KUKAA KWENYE MADUKA OPERATION YA KIJESHI AU
 
ni maoni tu wala hakuna kitishana ili ujue kuwa tayari watu wanaishi kwa hofu ni nan aliyethubutu kutangaza hiyo habari? zaidizaidi tumezikutahumu
 
ni maoni tu wala hakuna kitishana ili ujue kuwa tayari watu wanaishi kwa hofu ni nan aliyethubutu kutangaza hiyo habari? zaidizaidi tumezikutahumu
Tz ya viwanda hii ina maana raia wanahofu hadi waandishi pia
 
Naona mheshimwa rais wetu mtukufu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na amri jeshi mkuu bado anatusukuma kwa mikono kwenye uchumi wa kati.
 
Wanasiasa wamefanya tuamini kila jambo kisiasa ndiyo maana hata weledi wa waandishi wa mwendokasi umepungua ama kutoweka kabisa...habari isiyo na maslah na siasa si habari tena! Juzi nashangaa vyombo vya habari vilivyotakiwa kuandika habari serious vikiandika habari kuhusu wanajeshi wanawake kuendesha magari ya korosho..! Paradox.
 
Wanasiasa wamefanya tuamini kila jambo kisiasa ndiyo maana hata weledi wa waandishi wa mwendokasi umepungua ama kutoweka kabisa...habari isiyo na maslah na siasa si habari tena! Juzi nashangaa vyombo vya habari vilivyotakiwa kuandika habari serious vikiandika habari kuhusu wanajeshi wanawake kuendesha magari ya korosho..! Paradox.
DAAAH KWELI MKUU MI MWENYEWE NILISHANGAA KWANI KUNA MAAJABU GANI MWANAMKE KUEDLNDESHA LORI MBONA WAKO WENGI TU
 
H
Kama hadi leo hujui ya kuwa vyombo vya habari vya tz vimezibwa mdomo basi wewe ni zoba la kiwango cha lami!!
HAPANA MKUU NAJUA KWAMBA SASA VIMEZIBWA ILA KWENYE HILI NDO NAZID KUAMINI ITV LEO WA KUTOA MTU KAKAMATWA NA MZANI WA KUPIMA KOROSHO NYUMBANI KWAKE
 
Kwa watumiaji wa TemplerFx Tuma email hii sasa bila kuchelewa"tuma email kwenda support@templerfx.com,andika ivi please make my account under the agent 123796 my account no is andika no yako ya account ya mt4 bila password.Spread the Love. kwa maelekezo zaidi nicheck +255767913761(whatsapp only)
 
Back
Top Bottom