Uchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi wa Chama Cha Walimu TanzaniaLeo tarehe 04 / 6, VIP boss Kuna Nin huko mpaka kuwaita TAKUKURU
Chama Cha Walimu TanzaniaCWT ni chama cha kisiasa
uchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi wa Chama Cha Walimu Tanzania
Eliamini mbona tumesikia malalamiko mengi kutoka kwa hao wadau wa elimu kwamba wanahongwa/wanatoa rushwa ilikupata uongozi sasa kuna utofauti gani na CCM ambao ili uwe kiongozi lazima utoe mlungula ?Chama Cha Walimu Tanzania
Uchaguzi mkuu tu uko na rushwa toa tu na wewe pesa yako itarudi tuUchaguzi mkuu wa kuchagua viongozi wa Chama Cha Walimu Tanzania
Mbona Takukuru wapo kila mahali mnawatonya m nini?TAKUKURU nao wanakera sana, yani kila ishu ya rushwa mpaka watonywe.Kwa nini hawaitafuti wenyewe? Yaani wanakaa ofisini tu kusubiri kutonywa bila hivyo wanakaa kimya tu.Aibu na iwe kwao.
Ingekuwa hivyo kingekuwa kimeshakula ban awamu hiii ila ukiona kipo elewa kuna vested interests.Tulisha shauri hiki chama kifutwe,rushwa ,wizi,dhuluma,udanganyifu,ni sehemu ya hiki chama.chama hiki Hakuna faida kwa serikali Wala wanachama wake.
Nyuki katengeneza asali halafu nyuki huyo huyo unataka awe msimamizi wa kuuzwa kwa asali yake?