Vyombo vya Usalama angalieni CWT hapo Jamhuri

Vyombo vya Usalama angalieni CWT hapo Jamhuri

Sasa wewe ulitaka inzi ndo asimamie kuuzwa kwa asali? Hii ni akili kweli?

Na wewe nakushangaa kama mleta hoja kwani ulishawahi kuona wapi mwizi akajipa adhabu ya kukata mkono wake unaompa chakula chake cha kila siku au mkuu niongeze sauti?
 
Hujui hata ku reason. Umesema ni ajabu nyuki kutengeneza asali halafu akasimamia mwenyewe mauzo. Unataka atengeneze nyuki halafu akasimamie INZI? Hiyo akili?inzi na upumbavu wake akasimamie asali iliyotengenezwa na wenye akili?wewe bwege.yaani ulime wewe uvune akauze mazao yako mtu mwingine?we una akili hata kidogo wewe?kwa nini mlikuwa mnapoteza ada za wazazi wenu?


Na wewe nakushangaa kama mleta hoja kwani ulishawahi kuona wapi mwizi akajipa adhabu ya kukata mkono wake unaompa chakula chake cha kila siku au mkuu niongeze sauti?
 
Hujui hata ku reason. Umesema ni ajabu nyuki kutengeneza asali halafu akasimamia mwenyewe mauzo. Unataka atengeneze nyuki halafu akasimamie INZI? Hiyo akili?inzi na upumbavu wake akasimamie asali iliyotengenezwa na wenye akili?wewe bwege.yaani ulime wewe uvune akauze mazao yako mtu mwingine?we una akili hata kidogo wewe?kwa nini mlikuwa mnapoteza ada za wazazi wenu?

Wee kweli unaonyesha hata darasani ulikuwa komeo, wapi unakwama kuelewa nilichoongea/ ngoja nikuelimishe kidogo...wahusika wakuu kwenye uchaguzi huu wana watu wao humo na pia ndio wanawalipa hao Takukuru sasa unashindwaje kuelewa ndugu yangu na ndio maana nikasema uliona wapi mwizi akajikata mkono anaotumia kuiba?
 
Basi hukujua kutumia mfano stahiki.mfano wako kwa lugha ya kigeni tunasema ni irrelevant. Tafuta mfano mwingine ule wa nyuki achana nao. Sisi wenye akili tumeshangaa....


Wee kweli unaonyesha hata darasani ulikuwa komeo, wapi unakwama kuelewa nilichoongea/ ngoja nikuelimishe kidogo...wahusika wakuu kwenye uchaguzi huu wana watu wao humo na pia ndio wanawalipa hao Takukuru sasa unashindwaje kuelewa ndugu yangu na ndio maana nikasema uliona wapi mwizi akajikata mkono anaotumia kuiba?
 
Back
Top Bottom