Vyombo vya Dola na taasisi nyingi zianitaji Kukombolewa na Wananchi ikiwepo mihimili Bunge na Mahakama Wananchi tuvikomboe virudi kua Mali ya Umma

Vyombo vya Dola na taasisi nyingi zianitaji Kukombolewa na Wananchi ikiwepo mihimili Bunge na Mahakama Wananchi tuvikomboe virudi kua Mali ya Umma

baz kaiza

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
11,479
Reaction score
12,092
Wananchi kwa pamoja tunatakiwa kuungana kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama wala dini zetu kama kweli tumeumizwa na vifo vya wapendwa wetu basi vyombo vya dola baadhi ya Taasisi mihimili vinaitaji kukombolewa.

Tumeona mihimili kama Mahakama hii imebaki kutumiwa na watu au Polepole anawaita wahuni kuumiza watu wasio wapenda au wanaotishia maslahi yao tena sio muhimili huru unaoweza kujisimamia na kutenda haki

Mfano tu mdogo tumeona mahakama inavyotumika kumnyanyasa Lissu tumeona ilivyotumika kumnyanyasa Mbowe wengi na wengi ukiwa na Pesa huwezi kufungwa kiufupi huu muhimili unaitaji kukombolewa husitumike tena kukandamiza watu au wananchi

JWTZ tumeona hii taasisi baada ya maandamano CDF ametoka na kutoa kauli Tata dhidi ya wananchi wake ambao ndo wanakatwa kodi ndo wanamlipa mshahara kwamba watoto wa watu ambao wanadai haki zako kwa mujibu wa katiba kwamba ni wahalifu vijana ambao walikuwa wanapinga vitendo vya utekaji na Ufisadi.

Police Tanzania hao ndo kabisa wameoza tumeona wanawinda wananchi kama wanawinda wanyama pori kabisa kwa risasi za moto wananchi ambao hawana siraha yoyote rushwa Utapeli kubabikia watu kesi police

Tiss hawa ndo kabisa wametufikisha hapa baada ya kufanyia kazi mambo ya maana mambo ya Msingi wako busy kuangaika na wakosoaji wa Rais na kubuni mipango ya kudhoofisha Upinzani wakati Chama tawala kiko mahututi Uchumi uko hoi wao wako busy kushinda kwenye mitandao na kutisha watu

Bunge tumeona likitumika kupitisha mikataba ya ovyo kabisa kiasi kwamba unajiuliza kweli tuna bunge

Umefika hapa kwasabu ya mihimili na taasisi nyingi kutumiwa na wahuni mpaka kusababisha vifo vya ndugu zetu Ukombozi unatakiwa tuvikomboe
 
"Ukombozi unatakiwa tuvikomboe" ndivyo ulivyomalizia hoja yako na ndipo pa kuanzia, kufanyia kazi
Ndio mkuu ukiangalia vyombo vya dola vipo kwa ajili ya kikundi cha kulinda watu flani na kutumiwa na watu baada ya Umma bila kujali dini wa itikadi za vyama
 
Kwa ufupi tu hii nchi inahitaji total overhauling sio tu ya serikali, bali mpaka kwenye mindsets za watu, hili tuondoe kabisa kizazi cha machawa na wapumbavu wa kila aina.

Imagine mtu anatetea mauaji kwa hoja ya kwamba eti "wale waliouwawa wakiwa majumbani, walikuwa ni vibaka waliokimbilia kwenye majumba ya watu"..

Mpaka unajiuliza hivi huyu mtu ni binadamu kama mimi au zimwi..?!
 
Kwa ufupi tu hii nchi inahitaji total overhauling sio tu ya serikali, bali mpaka kwenye mindsets za watu, hili tuondoe kabisa kizazi cha machawa na wapumbavu wa kila aina.

Imagine mtu anatetea mauaji kwa hoja ya kwamba eti "wale waliouwawa wakiwa majumbani, walikuwa ni vibaka waliokimbilia kwenye majumba ya watu"..

Mpaka unajiuliza hivi huyu mtu ni binadamu kama mimi au zimwi..?!
Hii nchi inahitaji ukombozi upya tuweze kurudi kwenye mstali kwa sasa serikali kutumia na kikundi cha watu alafu mkaendelea kuita serikali ni aibu sana
 
Sio Kwa Tanzania hii ambayo akili za watu zimejaa Simba na Yanga.
Ili nchi hii iendelee inatakiwa 75% ya watu wafukiwe ambapo walipo serikalini inatakiwa kufukia 98%.
 
Kwa ufupi tu hii nchi inahitaji total overhauling sio tu ya serikali, bali mpaka kwenye mindsets za watu, hili tuondoe kabisa kizazi cha machawa na wapumbavu wa kila aina.

Imagine mtu anatetea mauaji kwa hoja ya kwamba eti "wale waliouwawa wakiwa majumbani, walikuwa ni vibaka waliokimbilia kwenye majumba ya watu"..

Mpaka unajiuliza hivi huyu mtu ni binadamu kama mimi au zimwi..?!
Hii nchi viongozi wetu wamefika mwisho wao kufikiri kwa kweli mambo ya Msingi hoja za msingi wanakuja na majibu mepesi baada ya kufanya jambo wajikomboe walipo kwama wanakuja na utoto heti wizara hii nchi ina wizara ngapi na matatizo bado yako palepale
 
Wananchi kwa pamoja tunatakiwa kuungana kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama wala dini zetu kama kweli tumeumizwa na vifo vya wapendwa wetu basi vyombo vya dola baadhi ya Taasisi mihimili vinaitaji kukombolewa.

Tumeona mihimili kama Mahakama hii imebaki kutumiwa na watu au Polepole anawaita wahuni kuumiza watu wasio wapenda au wanaotishia maslahi yao tena sio muhimili huru unaoweza kujisimamia na kutenda haki

Mfano tu mdogo tumeona mahakama inavyotumika kumnyanyasa Lissu tumeona ilivyotumika kumnyanyasa Mbowe wengi na wengi ukiwa na Pesa huwezi kufungwa kiufupi huu muhimili unaitaji kukombolewa husitumike tena kukandamiza watu au wananchi

JWTZ tumeona hii taasisi baada ya maandamano CDF ametoka na kutoa kauli Tata dhidi ya wananchi wake ambao ndo wanakatwa kodi ndo wanamlipa mshahara kwamba watoto wa watu ambao wanadai haki zako kwa mujibu wa katiba kwamba ni wahalifu vijana ambao walikuwa wanapinga vitendo vya utekaji na Ufisadi.

Police Tanzania hao ndo kabisa wameoza tumeona wanawinda wananchi kama wanawinda wanyama pori kabisa kwa risasi za moto wananchi ambao hawana siraha yoyote rushwa Utapeli kubabikia watu kesi police

Tiss hawa ndo kabisa wametufikisha hapa baada ya kufanyia kazi mambo ya maana mambo ya Msingi wako busy kuangaika na wakosoaji wa Rais na kubuni mipango ya kudhoofisha Upinzani wakati Chama tawala kiko mahututi Uchumi uko hoi wao wako busy kushinda kwenye mitandao na kutisha watu

Bunge tumeona likitumika kupitisha mikataba ya ovyo kabisa kiasi kwamba unajiuliza kweli tuna bunge

Umefika hapa kwasabu ya mihimili na taasisi nyingi kutumiwa na wahuni mpaka kusababisha vifo vya ndugu zetu Ukombozi unatakiwa tuvikomboe

View: https://twitter.com/HildaNewton21/status/1990471393385816573?t=0f0wtTtGHanXZymxi6dlrQ&s=19
 
Back
Top Bottom