Hisha Sorel
Senior Member
- Dec 27, 2017
- 192
- 140
- Thread starter
- #21
Tengeneza hata lesson plan;Vizuri
Mwalimu umesema afundishe tuition, hoja yako ni kukusanya na kazi zako.
Sijaelewa mwalimu haikusanye darasa lake la tuition na wanafunzi wake waingie kwenye Email au Bahasha.
Eliza sio blaa blaa
notes za somo lako
Tengeneza hata online tutorials ( hii inaweza kua audio au short video ukielezea topic)
Tumia ubunifu wako kuonyesha mwajili kwamba we ni zaidi ya cheti