Wakati mwingine umuhimu wake unaweza kujitokeza katika mazingira usiyoyatarajia. Mfano mbeleni mtu akiibuka na kudai wewe ni wale akina Bashite wakati sivyo kama una cheti cha darasa la saba chenye jina lako si utakata mzizi wa fitina kwa kukionyesha?Naomba kuuluza hivi hicho cheti huwa kinauliziwa kwenye ajira au kujiunga na elimu ya sekondari au elimu ya juu?
Mimi sikijui kinafananaje na sijapata kuombwa hicho cheti popote pale.
Sio kweli,Kwa Sasa darasa la Saba wanapewa vyeti kutoka Baraza la mitihani na kidato Cha nne vilevile wanapewa chetiElimu ya sekondari na msingi zote zimekuwa ELIMU MSINGI hivyo hawawezi kutoa vyeti kwenye level moja ya Elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cheti cha darasa la saba hakiwezi kuwa ni uthibitisho wa uraia sheria zetu, kama cheti cha kuzaliwa tu kimeandikwa huu sio uthibitisho wa urai!Wakati mwingine umuhimu wake unaweza kujitokeza katika mazingira usiyoyatarajia. Mfano mbeleni mtu akiibuka na kudai wewe ni wale akina Bashite wakati sivyo kama una cheti cha darasa la saba chenye jina lako si utakata mzizi wa fitina kwa kukionyesha?
Hebu tukumbushane mkuu. Suala la Bashite lilihusu uraia?Cheti cha darasa la saba hakiwezi kuwa ni uthibitisho wa uraia sheria zetu, kama cheti cha kuzaliwa tu kimeandikwa huu sio uthibitisho wa uraia!
Mtoto wa raia wa kigeni anaweza kuzaliwa na kusoma Tanzania lakini akakosa sifa za kuwa raia.
Sijakuelewa unazumngumzia suala gani, fafanua mkuu.Hebu tukumbushane mkuu. Suala la Bashite lilihusu uraia?
Huyo mama moja bila shaka ni wewe mwenyeweHabari za leo wakuu
Kuna mama mmoja analalamika anafuatilia cheti cha mwanae cha darasa la saba aliyemaliza shule ya msingi inayoitwa Magoza Dar-es-salaam mwaka 2014. Hajapata ushirikiano halmashauri kitengo cha elimu ya msingi, wanamwambia sio jukumu lake kuulizia awaachie walimu.
Walimu wa shule husika wanadai serikali imesitisha kutengeneza vyeti darasa la saba, hivyo hawana vyeti hivyo tangu wahitimu wa 2014.
Je, ni kweli? Naombeni majibu mliopo jikoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni kama Leaving Certificate tu.Ndio hivyo mkuu, tofauti na wakati tunasoma sisi, binti yangu kahitimu darasa la saba mwaka 2019, na tulitangaziwa michango yote mpaka gharama za kutengeneza vyeti. na usipotoa mwanao hapati cheti mpaka ulipe
Mkoa gani huo? Je una taarifa na waliohitimu 2014,2015,2016,2017 kama wamepata vyeti?Vyeti vipo shule husika,mwaka jana nimekipata kipya kizuri cha miaka ya hivi karibuni tu
Hili linawezekana ikawa kweli. Ina maana kuna miaka Serikali ilisitisha kutengeneza vyeti darasa la sabaKwenye usaili wa majeshini hiko cheti huuliziwa kwa msailiwa.(hasa JKT)
Vyeti vya waliomaliza la saba 2017,18 vipo ila 19 na 16,15 nadhani na 14 bado havijatoka.(kwa mujibu wa Mwl.Mkuu wa shule moja ya msingi Wilaya ya Ilala)
Sent using Jamii Forums mobile app
Je umejaribu kuulizia kwa mwaka 2014,2015,2016 Kama waliohitimu wamepata vyeti? Kama kuna mtu unamfahamu jaribu kumuulizaDarasa la 7 vyeti vinatolewa vizuri tu
Mimi changu ninacho, nilimaliza 2009
Mfano ukienda immigration unaulizwa kama una cheti cha la 7? Incase hauna vya sekondari (ukihitaji passport)
You are mistaken mkuu.Huyo mama moja bila shaka ni wewe mwenyewe
Ni we we bhana,jf ndo mlivyo. Kila mtu huku,oooh jamaa yangu...oooh Fulani kumbe ni yeye mwenyewe.
Siku ukitaka kujiunga na jeshi au ndugu yako akijiunga na jeshi utasikia akikiuliziammh hv darasa la 7 huwa inacheti kumbe? ndo najua pamoja na elimu yangu ya chuo sijawahi kwenda sehemu kuulizwa hicho cheti na nilimaliza la 7 2000
Mimi ni jinsia ME mkuu. Wewe kama ni KE nitafute tumalizane ili tuondoe utata.Ni we we bhana,jf ndo mlivyo. Kila mtu huku,oooh jamaa yangu...oooh Fulani kumbe ni yeye mwenyewe.
Pole mama kwa kukosa cheti cha LA saba