Vyeti vya darasa la saba havipo tena

Vyeti vya darasa la saba havipo tena

Elvis Legacy

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
4,405
Reaction score
6,632
Habari za leo wakuu

Kuna mama mmoja analalamika anafuatilia cheti cha mwanae cha darasa la saba aliyemaliza shule ya msingi inayoitwa Magoza Dar-es-salaam mwaka 2014. Hajapata ushirikiano halmashauri kitengo cha elimu ya msingi, wanamwambia sio jukumu lake kuulizia awaachie walimu.

Walimu wa shule husika wanadai serikali imesitisha kutengeneza vyeti darasa la saba, hivyo hawana vyeti hivyo tangu wahitimu wa 2014.

Je, ni kweli? Naombeni majibu mliopo jikoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyeti vya kuhitimu Darasa la saba vinatengenezwa na shule husika, bahada ya kuwekwa utaratibu namna ya kuviandaa na muonekano katika Halmashauri, au manispaa husika.
Tena kama mzazi umetoa mchango wa kutengeneza hivyo vyeti, si chini ya 5,000

Inaonekana huyo mama alikuwa haudhurii au mwanae alikuwa amletei barua za wito hapo shuleni kwaaijili ya wazazi wenye watoto wa darasa la saba kupanga namna ya kuwasaidia watoto kufaulu mitihani
 
Usitegemee mwanao akapata Elimu iliyobora Tanzania hata akasome private school mambo Ni Yale Yale

Hakikisha mwanao unamfundishi mising ya kujiajiri na kujua pesa,thamani ya pesa,utunzaji wa pesa na uvumilivu wa pesa hyo ndio mising Bora kwa mtoto

kilicho akilini kitumie
 
Vyeti vya kuhitimu Darasa la saba vinatengenezwa na shule husika, bahada ya kuwekwa utaratibu namna ya kuviandaa na muonekano katika Halmashauri, au manispaa husika.
Tena kama mzazi umetoa mchango wa kutengeneza hivyo vyeti, si chini ya 5,000

Inaonekana huyo mama alikuwa haudhurii au mwanae alikuwa amletei barua za wito hapo shuleni kwaaijili ya wazazi wenye watoto wa darasa la saba kupanga namna ya kuwasaidia watoto kufaulu mitihani
Mkuu jambo la kitaifa lipo mikononi mwa walimu wakuu. Hili mbona halijakaa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuuluza hivi hicho cheti huwa kinauliziwa kwenye ajira au kujiunga na elimu ya sekondari au elimu ya juu?
Mimi sikijui kinafananaje na sijapata kuombwa hicho cheti popote pale.
 
Mkuu jambo la kitaifa lipo mikononi mwa walimu wakuu. Hili mbona halijakaa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo mkuu, tofauti na wakati tunasoma sisi, binti yangu kahitimu darasa la saba mwaka 2019, na tulitangaziwa michango yote mpaka gharama za kutengeneza vyeti. na usipotoa mwanao hapati cheti mpaka ulipe
 
Vyeti vya kuhitimu Darasa la saba vinatengenezwa na shule husika, bahada ya kuwekwa utaratibu namna ya kuviandaa na muonekano katika Halmashauri, au manispaa husika.
Tena kama mzazi umetoa mchango wa kutengeneza hivyo vyeti, si chini ya 5,000

Inaonekana huyo mama alikuwa haudhurii au mwanae alikuwa amletei barua za wito hapo shuleni kwaaijili ya wazazi wenye watoto wa darasa la saba kupanga namna ya kuwasaidia watoto kufaulu mitihani
atubela! atatubela!
 
Vyeti vya kuhitimu Darasa la saba vinatengenezwa na shule husika, bahada ya kuwekwa utaratibu namna ya kuviandaa na muonekano katika Halmashauri, au manispaa husika.
Tena kama mzazi umetoa mchango wa kutengeneza hivyo vyeti, si chini ya 5,000

Inaonekana huyo mama alikuwa haudhurii au mwanae alikuwa amletei barua za wito hapo shuleni kwaaijili ya wazazi wenye watoto wa darasa la saba kupanga namna ya kuwasaidia watoto kufaulu mitihani
'Kuwasaidia watoto kufaulu', kuna njia nyingine zaidi ya ubao wa mwalimu darasani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho alichonacho mwanao ni school leaving certificate na utengenezwa na shule husika na mwanafunzi ukabidhiwa siku ya maafali. Ila kuna cheti cha baraza LA mtihani LA taifa, hicho utolewa na baraza LA mtihani LA taiga na uonyesha ufaulu wa mwanafunzi husika.
Ndio hivyo mkuu, tofauti na wakati tunasoma sisi, binti yangu kahitimu darasa la saba mwaka 2019, na tulitangaziwa michango yote mpaka gharama za kutengeneza vyeti. na usipotoa mwanao hapati cheti mpaka ulipe
[/QUOT
 
Vyeti vipo shule husika,mwaka jana nimekipata kipya kizuri cha miaka ya hivi karibuni tu
 
Vyeti vya kuhitimu Darasa la saba vinatengenezwa na shule husika, bahada ya kuwekwa utaratibu namna ya kuviandaa na muonekano katika Halmashauri, au manispaa husika.
Tena kama mzazi umetoa mchango wa kutengeneza hivyo vyeti, si chini ya 5,000

Inaonekana huyo mama alikuwa haudhurii au mwanae alikuwa amletei barua za wito hapo shuleni kwaaijili ya wazazi wenye watoto wa darasa la saba kupanga namna ya kuwasaidia watoto kufaulu mitihani
Cheti cha darasa LA saba cha sasa kinatengenezwa NACTE
 
Habari za leo wakuu

Kuna mama mmoja analalamika anafuatilia cheti cha mwanae cha darasa la saba aliyemaliza shule ya msingi inayoitwa Magoza Dar-es-salaam mwaka 2014. Hajapata ushirikiano halmashauri kitengo cha elimu ya msingi, wanamwambia sio jukumu lake kuulizia awaachie walimu.

Walimu wa shule husika wanadai serikali imesitisha kutengeneza vyeti darasa la saba, hivyo hawana vyeti hivyo tangu wahitimu wa 2014.

Je, ni kweli? Naombeni majibu mliopo jikoni

Sent using Jamii Forums mobile app
mnapoambiwa nchi imeuawa muwe mnaelewa
 
mnapoambiwa nchi imeuawa muwe mnaelewa
Sio kweli shule haitengenezi cheti Wala halmashauri haitengenezi cheti Ila shule wanatengeneza leaving certificate kwa mwanafunzi ili kumtambulisha kuwa amemaliza shule husika kuanzia mwaka 2016 kurudi miaka ya nyuma

Kuanzia mwaka 2017 __ kuendelea ndio necta wanatoa vyeti kwa wahitimu wa darasa la 7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mmh hv darasa la 7 huwa inacheti kumbe? ndo najua pamoja na elimu yangu ya chuo sijawahi kwenda sehemu kuulizwa hicho cheti na nilimaliza la 7 2000
 
Back
Top Bottom