Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 4,405
- 6,632
Habari za leo wakuu
Kuna mama mmoja analalamika anafuatilia cheti cha mwanae cha darasa la saba aliyemaliza shule ya msingi inayoitwa Magoza Dar-es-salaam mwaka 2014. Hajapata ushirikiano halmashauri kitengo cha elimu ya msingi, wanamwambia sio jukumu lake kuulizia awaachie walimu.
Walimu wa shule husika wanadai serikali imesitisha kutengeneza vyeti darasa la saba, hivyo hawana vyeti hivyo tangu wahitimu wa 2014.
Je, ni kweli? Naombeni majibu mliopo jikoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mama mmoja analalamika anafuatilia cheti cha mwanae cha darasa la saba aliyemaliza shule ya msingi inayoitwa Magoza Dar-es-salaam mwaka 2014. Hajapata ushirikiano halmashauri kitengo cha elimu ya msingi, wanamwambia sio jukumu lake kuulizia awaachie walimu.
Walimu wa shule husika wanadai serikali imesitisha kutengeneza vyeti darasa la saba, hivyo hawana vyeti hivyo tangu wahitimu wa 2014.
Je, ni kweli? Naombeni majibu mliopo jikoni
Sent using Jamii Forums mobile app
