Vyeti feki: Tangazo la kuwataka wenye vyeti feki waondoke wenyewe je lilifanikiwa?

Kaisari

JF-Expert Member
Nov 13, 2012
3,636
3,042
Jamani naomba kujuzwa hivi lile tangazo la wenye vyeti fake waondoke wenyewe. Lilifanikiwa ? Jee watu waliondoka ??
Jee waliokaidi bado wapo ?? Kama wapo kuna hatua zimechukuliwa ??
Vipi mishahara imeendelea kutoka au hamna ???
Nijulisheni nisijekuwa nimebaki pekeyangu na mimi nisepe kesho.
 
Huku kwetu wamesepa wote, na majina ya watumishi wote wenye elimu kuanzia kidato cha nne yamebandikwa ubaoni huku walioghushi cheti, wenye utata na incomplete wakianikwa na kutaka wasepe haraka. Warudi tu wale waakaokuja na barua toka NECTA na utumishi kuwa wako salama .
 
Jamani naomba kujuzwa hivi lile tangazo la wenye vyeti fake waondoke wenyewe. Lilifanikiwa ? Jee watu waliondoka ??
Jee waliokaidi bado wapo ?? Kama wapo kuna hatua zimechukuliwa ??
Vipi mishahara imeendelea kutoka au hamna ???
Nijulisheni nisijekuwa nimebaki pekeyangu na mimi nisepe kesho.


Mshahara umelipwa kwani wa Mwezi wa Tano? Hahahaha
 
Jamani naomba kujuzwa hivi lile tangazo la wenye vyeti fake waondoke wenyewe. Lilifanikiwa ? Jee watu waliondoka ??
Jee waliokaidi bado wapo ?? Kama wapo kuna hatua zimechukuliwa ??
Vipi mishahara imeendelea kutoka au hamna ???
Nijulisheni nisijekuwa nimebaki pekeyangu na mimi nisepe kesho.
Hii haikumuacha mtu salama...!
 
walishaondolewa kwenye payroll sasa atakujaje kazini na mshahara hakuna
 
Back
Top Bottom