Hivi ni vinu vya kufua umeme, vinapatikana nchi zilizo endelea, nazani kwa wale wenye kuishi katika vyanzo vya maji yenye mtetemko, uwezo wa kupata umeme upo. Usisubiri Tanesco ikuletee umeme , uwezo unao tafuta wataalamu kutengezee umeme wa uhakika.