KAKA NASOKI
Senior Member
- May 25, 2016
- 191
- 212
Nimeipata mahali si vibaya ku-share
Poleni kwa majanga ya moto mashuleni. Hivi punde jamaa alimfanyia interview mwanafunzi aliyemaliza form six, akasema alimwambia mashule yanaungua kwasababu huwa wana simu na huwa zinafichwa darini, wakitaka kuchaji wanakwangua waya wa umeme wanategeshea chaji zao, na huwa wanafanya usiku wakati wa preparation (prep )ya jioni, kwahiyo mabweni huungua kuanzia darini sababu ya kukwanguliwa nyaya za umeme. Hivyo moto ukizuka inaonekana ni hitilafu ya umeme.
Aliulizwa kama walimu wanalijua hilo akasema hadi leo hawjui kama wao ndio wanasababisha.
Jamani tuwajulishe Walimu na wenye shule wawe wanafanya ukaguzi kwenye dari za mabweni mara kwa mara. Na wale wanaokagua chanzo cha moto wawe wanahoji vijana kwa kina wapate taarifa kamili, kuepuka ku conclude wiring za mashule ni mbovu.
Chanzo kingine ni kutumia heater za kienyeji kuchemshia maji ya chai, zilizotengenezwa kwa spring za vitanda vya chuma, ikitokea zile spring mbili zinazo ning'inizwa kwenye jagi la maji zikigusana hakuna kingine ni moto.
Poleni kwa majanga ya moto mashuleni. Hivi punde jamaa alimfanyia interview mwanafunzi aliyemaliza form six, akasema alimwambia mashule yanaungua kwasababu huwa wana simu na huwa zinafichwa darini, wakitaka kuchaji wanakwangua waya wa umeme wanategeshea chaji zao, na huwa wanafanya usiku wakati wa preparation (prep )ya jioni, kwahiyo mabweni huungua kuanzia darini sababu ya kukwanguliwa nyaya za umeme. Hivyo moto ukizuka inaonekana ni hitilafu ya umeme.
Aliulizwa kama walimu wanalijua hilo akasema hadi leo hawjui kama wao ndio wanasababisha.
Jamani tuwajulishe Walimu na wenye shule wawe wanafanya ukaguzi kwenye dari za mabweni mara kwa mara. Na wale wanaokagua chanzo cha moto wawe wanahoji vijana kwa kina wapate taarifa kamili, kuepuka ku conclude wiring za mashule ni mbovu.
Chanzo kingine ni kutumia heater za kienyeji kuchemshia maji ya chai, zilizotengenezwa kwa spring za vitanda vya chuma, ikitokea zile spring mbili zinazo ning'inizwa kwenye jagi la maji zikigusana hakuna kingine ni moto.
