Vyama/wanasiasa vya siasa havina washauri

Vyama/wanasiasa vya siasa havina washauri

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
52,112
Reaction score
102,038
Inasikitisha, G55 Press conference ya nin? Itasaidia nini kuwaweka sawa na chama chenu? kwanini msiwasiliane ndani kwa ndani?

na Lisu alifanya hayo hayo, na sasa mliokuwa viongozi mnafanya hayo hayo!

MNA TOFAUTI GANI NA CCM MNAYOILALAMIKAI
 
Hata Chama cha Labour cha Uingereza Waasi huwa wanafukuzwa mara moja bila kuchelewa kwanini CHADEMA inalea Waasi?.

Lissu fukuza Waasi wakagombanie TLP.
 
Lissu ameshindwa kabisa kuunganisha makundi kwenye chama? Ni udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi huu.

Sifa moja kubwa ya kiongozi bora ni pamoja na kuleta watu wote pamoja haswa katika kipindi hiki muhimu cha uchaguzi mkuu. Kama kiongozi alitakiwa kuhakikisha chama kwa vyovyote vile hapatokei mpasuko.

Ila pia hao G55 wana ubinafsi mkubwa sana. Sioni kama wanatetea muelekeo sahihi wa kulikomboa taifa katika kupata sera sahihi za uchaguzi huru na katiba mpya ya nchi

Zaidi wao wanachong'angania ni vyeo kama wasipogombea ubunge itakuwaje.

Viongozi MATUMBO yao kwanza! Wtanzania watawakataa!!
 
Inasikitisha, G55 Press conference ya nin? Itasaidia nini kuwaweka sawa na chama chenu? kwanini msiwasiliane ndani kwa ndani?

na Lisu alifanya hayo hayo, na sasa mliokuwa viongozi mnafanya hayo hayo!

MNA TOFAUTI GANI NA CCM MNAYOILALAMIKAI
Ngoja waitishe...ili rangi yao idhidi kujidhihirisha vizuri, wana CHADEMA muwajue wachumia tumbo.
 
Back
Top Bottom