Mkuu hivi Raila akishinda uchaguzi kwa mfano, Kivuitu atahama nchi au atabaki na kula jiwe - Siasa za Kiafrica Bwana!!! Mimi huwa nasikitika sana nimuonapo mtu professional anakosa ku-stick kwenye ethics za talaaluma yake na kufanya vitu vinavyo dhihilisha wazi wazi kwamba anafanya mambo ya kutaka kujipendekeza!
Mimi weakness ya namna hiyo huwa inanipa wakati mgumu sana kulielewa, suala hili la kukosa kutafakali unalo lizungumza/tenda lingeweza kabasi kui-cost Kenya wapigane vita wenyewe kwa wenyewe kutokana na mtu mmoja kufanya mambo ya KUJIPENDEKEZA!!! Sisi kama Watanzania tunapaswa kujifunza kilicho wapata majirani zetu kutokana na weakness za mtu MMOJA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.