Baraghash
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 2,713
- 1,786
Unapoona mgombea urais wa nchi anaposoma " written statement' kwa lugha yake mwenyewe anatetmeka mfano wa Jecha alipokuwa anasoma hati ta kufuta uchaguzi , basi ujue kuna jambo.yaani hata hakijawahi vuka maji kuja bara. namaanisha hata hakijapanda kilimanjaro 4 ya Bakhresa
Siwalaumu Mbuzi anakula urefu wa kamba yake. Wajinga ndio waliwao.
Lakini wajiandae kufukuzwa na vyama vyao wale wote ambao hawatapeleka mgao mapema.
Msoma "STATEMENT" amkwisha simamishwa; Hamad mzoefu wa mgao nae maji shingoni na wengine watafuatia.
Haki hainunuliwi wala kununulika!