Ni kweli mkuu.Mia kabisa mleta uzi.
Kwa sasa vyakula vingi havina harufu wala ladha mdomoni.
Mimi kipindi nakua nilikuwa mpenzi sana wa viazi mbatata vya kuchemsha na nilichokuwa napenda ni ile ladha yake pamoja na unga unga fulani hivi(sio amaizingi!)...Kwa sasa nimeacha huo mlo,viazi havina ladha na havina ule unga unga baada ya kuchemshwa.Kwa sasa ukichemsha kiazi kinakuwa kama kimelowekwa,kikwetu tunaita "vichelema".